JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: December 2017

FULL TIME: WEST BROMWICH ALBION VS ARSENAL MATOKEO 1-1

Dakika ya 4: Mchezo umeanza kwa kasi kiasi. Dakika ya 7:  west bromwich wanakosa goli, Jay Rodriguez anaunganisha kwa kichwa lakini kipa wa arsenal anadaka Dakika ya 9: Mpira wa kurusha kuelekea upande wa west bromwich. Dakika ya 12: West…

YANGA YAFUNGA MWAKA KWA KIPIGO CHA 2-0 KUTOKA KWA MBAO FC

Yanga leo imefunga mwaka vibaya kwa kukubali kipigo cha mabao 2-0 dhidi ya Mbao fc ya mwanza, mabao yote ya mbao yamefungwa na Habib Aji kwenye dakika ka 52 na 70. kutokana na mchezo huo sasa unaiondoa yanga kwenye orodha…

CRYSTAL PALACE YAIKAZIA MAN CITY

Ligi kuu nchini Uingereza imeendeleaa tena leo kwa mchezo mmoja kati ya Crystal Palce dhidi ya Manchester City, matokeo ya mchezo huo Crystal Palace imefanikiwa kuwakazia Manchester City na kutoka nao sare ya 0 – 0. Katika mchezo huo Crystal…

PPF WAMKANA MFANYAKAZI WAO ALIYEKAMATWA NA MIRUNGI

MFUKO wa Pensheni wa PPF umesema mfanyakazi wake, Anitha Oswald, wa ofisi ndogo ya Moshi aliyekamatwa wiki hii akiwa na madawa ya kulevya aina ya mirungi huko Moshi, Kilimanjaro, alikuwa kwenye likizo ya dharura na kwamba alikamatwa akiwa kwenye gari…

CHADEMA: VIONGOZI WA DINI MSIOGOPE KUIKOSOA SERIKALI

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe. CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) kimewataka viongozi wa dini kuendelea kuikosoa serikali na wasitishwe na mtu yoyote kwani bila wao kusema jamii ya Watanzania itaangamia.   Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe,  ametoa kauli hiyo wakati…

KANISA KATOLIKI LAITISHA MAANDAMANO YA AMANI KUMPINGA RAIS KABILA

Kuna wasi wasi wa kukosekana utulivu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inayokabiliwa kwa sasa na mgogoro wa kisiasa kufuatia kanisa Katoliki lenye ushawishi mkubwa nchini humo kuitisha maandamano ya amani. Kabila ambaye waandaaji wa maandamano hayo wanamtaka atamke wazi…