Month: March 2018
Afrika yafungua wigo mpya kibiashara
Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizotia saini mkataba unaolenga kuongeza wigo wa kufanya biashara miongoni mwa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU), kwa zaidi ya asilimia 14 iliyopo sasa miongoni mwao. Mkataba huo ulitiwa saini mjini Kigali, Rwanda. Mkataba…
MSD kushiriki kujenga viwanda vya dawa Tanzania
Na Mwandishi Maalum Bohari ya Dawa nchini (MSD) imeendelea kutekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya Mwaka 2015 – 2020 kwa vitendo baada ya kujipanga kushiriki kwenye kujenga viwanda vya kuzalisha dawa nchini kwa nia ya kupunguza utegemezi wa…
Nitawashangaa Wazungu watakaomsifu Magufuli
Kuna wakati Watanzania kadhaa walikuwa wakinung’unikia vyombo vya habari vya kimataifa kwa kuona Tanzania haitajwitajwi kwenye vyombo hivyo. Wapo walioona kutotajwa huko ni jambo baya, lakini wapo walioamini hiyo ni dalili njema. Walioamini hiyo ni dalili njema, waliamini hivyo kwa…
Dalili zinazoashiria tatizo kwenye afya yako
Watu wengi wamekuwa na tabia ya kupuuzia baadhi ya dalili ndogo zinazojitokeza kwenye afya zao pasipo kujua chanzo hasa cha dalili hizo. Ifahamike kuwa tabia hii ni hatari sana kwa sababu matatizo yote makubwa ya kiafya huwa yanaanza na dalili…
Nyamo-Hanga ang’olewa REA
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Umeme Vijijini (REA), Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga, ameondolewa kwenye nafasi hiyo, JAMHURI limethibitishiwa. Desemba 17, 2016 Bodi ya Wakurugenzi ya REA ilimteua Mhandisi Nyamo-Hanga, kushika wadhifa huo. Pamoja naye, kumekuwapo…
Ajira za upendeleo TFF
NA MICHAEL SARUNGI Uongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) umeingia katika tuhuma za kutoa ajira kwa baadhi ya wafanyakazi wake bila kufuata kanuni na taratibu za ajira. Tuhuma hizo zimetolewa wakati Shirikisho likiwa katika mgogoro na aliyekuwa…