Year: 2018
Tanzania Yaombwa Kuwa Mwenyeji Kombe la Kagame
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limepokea barua kutoka CECAFA ikiomba Tanzania kuwa mwenyeji wa mashindano ya Kombe la Kagame kwa ngazi ya klabu. TFF imepokea barua hiyo leo ikiitaka Tanzania iwe mwenyeji wa michuano hiyo ambayo mara nyingi hufanyika jijini…
UJUMBE WA PASAKA KUTOKA BARAZA LA MAASKOFU WA KANISA LA KIINJILI LA KILUTHERI TANZANIA (KKKT)
TAIFA LETU, AMANI YETU A. UTANGULIZI “Fumbua Kinywa chako kwa ajili yake aliye bubu; Uwatetee watu wote walioachwa peke yao; Fumbua kinywa chako, uhukumu kwa haki; uwapatie maskini na wahitaji haki yao” (Mithali 31: 8-9). Wapendwa wana KKKT, Watukuka, watu…
Mabula ashangaa mabilioni ‘kulala nje’
Na Munir Shemweta “Sekta ya ardhi ni nyeti kuliko sekta yoyote na iwapo itasimamiwa vizuri basi itaiingizia Serikali mapato makubwa kuliko sekta nyingine’’. Hiyo ni kauli ya Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula, wakati akikagua…
Tuzungumze maendeleo ya watu
NA MICHAEL SARUNGI Nchi yetu ilipopata uhuru kutoka kwa wakoloni mwaka 1961 wananchi walipata madaraka ya kisiasa, hata hivyo sehemu kubwa ya uchumi bado ilibaki mikononi mwa wageni na baadhi ya Watanzania. Hali hiyo ilileta kero na ikawa mojawapo ya…
Yah: Kumbukizi ziakisi ukweli wa marehemu.
Kama kuna wakati nimepokea arafa nyingi za wasomaji wa barua yangu basi ni wiki jana, kila mmoja na mawazo yake, wapo waliodiriki kusema ninaegemea upande fulani kwa maslahi binafsi na wapo walionielewa na kupongeza juu ya waraka wangu ule wa…