Year: 2018
Uingereza imeitaka Saudia kutoa maelezo ya kina juu ya kupotea kwa Mwandishi
Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza amesema kuwa taifa lake linatarajia majibu ya msingi kutokana na kupotea kwa mwandishi wa Saudia Jamal Khashoggi ambaye mara ya mwisho alikuwa katika ubalozi wa Saudi nchini Uturuk Katika mazungumzo yake kwa njia…
Kimbunga Michael kuyakumba majimbo matatu Marekani
Takriban watu nusu milioni wanatakiwa kuondoka haraka katika makazi yao eneo la kusini mashariki mwa Marekani ili kukupisha kimbunga Michael ambacho kinakaribia kulikumba eneo hilo. Taarifa za watabiri wa hali ya hewa zinasema kimbuka hicho kwa sasa kimekwisha ingia katika…
Polisi aiba bandarini
*CCTV Camera alizofunga Injinia Kakoko zamuumbua *Tukio lake lazua tafrani kubwa, IGP Sirro alishuhudia *Bandari sasa kama Ulaya, imefungwa kamera 486 *Polisi wafanya mbinu kumtetea mwenzao, wagonga mwamba Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam Mfumo mpya wa ulinzi aliouanzisha katika…
Botswana yanufaika madini, Tanzania yajikongoja…
*Waziri wao ashangaa Watanzania kutochukua fursa waliyoiomba *Ampongeza Rais Magufuli kubadili sheria za madini mwaka 2017 *Katibu Mkuu Madini asema Tanzania haina cha kujifunza Botswana Na Mkinga Mkinga, Aliyekuwa Gaborone, Botswana Wakati Tanzania ikibadili sheria yake ya madini mwaka 2017,…
Matapeli wa bima waendelea kutamba
DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Kampuni zinazouza bima kwa magari yanayosafirishwa nje ya nchi (IT) zinaendelea kufanya biashara hiyo licha ya kubainika kuwa ni utapeli. Wakati Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) ikisema stika za bima za muda…