JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2018

RC MAKONDA AVIWEZESHA KIUCHUMI VIKUNDI VYA JOGGING KWA KUVIPATIA MITAJI

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo ameanza rasmi mpango wa kuviwezesha kiuchumi vilabu vya Jogging kwa kuvipatia mitaji ya kuwezesha kuanzisha miradi ya kujikwamua kiuchumi. Akizungumza wakati wa Bonanza la Vilabu vya Jogging…

Wananchi Kyela wajitokeza kupiga kura

Wananchi wa kata ya Mwanganyanga katika mji mdogo wa Kyela, jijini Mbeya leo asubuhi Jumapili Agosti 12, 2018 wamejitokeza kupiga kura kuchagua diwani. Msimamizi wa Uchaguzi katika kata hiyo, Amos Basiri amesema vituo vyote vimefungulia saa 1 asubuhi na wananchi…

Dodoma walizwa

Kampuni uuzaji viwanja, nyumba yafanya yake * Mamia waambulia patupu, waangua vilio * Ilitambulishwa bungeni kwa mbwembwe nyingi DODOMA NA MWANDISHI WETU Baadhi ya watumishi wa umma na watu binafsi jijini Dodoma wanalalamika kutapeliwa na kampuni ya uendelezaji ardhi, ya…

Ole wenu mnaokaa kimya!

Mwanzo nilidhani tunaopinga usaliti wa wanasiasa wanaojiuzulu udiwani na ubunge na kwenda vyama vingine, tu wachache. Sikuwa sahihi. Baada ya kuliandika suala hili kwa mara ya tatu wiki iliyopita, nimepata mrejesho mkubwa. Wapo Watanzania wa kutosha wanaopinga hiki kinachoendelea. Vyama…

Waziri Kairuki tembelea Nyasirori

Sisi wananchi wa Nyasirori, Butiama mkoani Mara, tunaomba kujua faida za huu mgodi wa dhahabu kijijini kwetu. Tangu kuanzishwa kwa mgodi huu kwa kweli hatuoni mafanikio yoyote ya maana kwetu wananchi wa kawaida. Tunachokiona ni baadhi ya viongozi wa kitaifa…