JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: January 2019

NSSF watekeleza agizo la Rais

Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) limeanza utekelezaji wa maagizo ya Rais John Magufuli kwa kuhakiki waliokuwa wafanyakazi wa migodi na ajira za muda mfupi.  Akizungumza mwishoni mwa wiki, Meneja Kiongozi wa Matekelezo (Chief Manager Compliance and Data Management), Cosmas…

Waraka wa korosho kwa Rais Magufuli

Natanguliza shukrani kwako Rais wetu mpendwa kwa utendaji kazi wako uliotukuka na ambao watu wa mataifa mengine wanatamani ungekuwa rais wao. Nchi nyingi zinakupigia mfano japo umeiongoza Tanzania kwa miaka mitatu tu! Naamini si wote watakaoukubali utendaji wako hasa waliokatiwa…

Mwendokasi wa magari sasa ujangili mpya Hifadhi ya Taifa Mikumi

Umewahi kuendesha gari katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi na ukamgonga mnyama yeyote ndani ya hifadhi? Unakumbuka kama ulilipa faini za kumgonga mnyama? Basi kwa taarifa yako magari ndiyo yamekuwa majangili wapya katika hifadhi hiyo. Wakati Shirika la Hifadhi za…

TPA: Tunamjibu mteja ndani ya dakika 3

Bandari ni lango kuu la biashara kwa Tanzania na nchi zote zinazotumia bandari zetu hususan Bandari ya Dar es Salaam ambazo; ni Uganda, Rwanda, Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Zambia, Zimbabwe, Malawi, Sudan Kusini na Comoro. Tunapoanza mwaka 2019,…

Ndugu Rais ili tupite salama lazima tubadilike kifikra

Ndugu Rais, hivi karibuni wengi wamekuwa na shamrashamra, vifijo na nderemo huku wakiuaga mwaka 2018 na huku wakiushangilia mwaka 2019. Wanasema ni upendeleo wamepewa kuufikia mwaka 2019 kwa sababu wengi walitamani kuufikia, lakini hawakuweza. Tunajiuliza ni wakati gani waliwauliza hao…

Kuporomoka maadili nani alaumiwe?

Nimesukumwa kuandika makala hii kwa ukweli kwamba hatuwezi kujenga taifa lenye maadili mema pasipo familia zenye maadili mema. Siku moja nilipita katika mtaa fulani nikakuta majibizano ya ajabu kati ya mtoto na mzazi, nilishangaa sana. Ustawi wa taifa unaanzia nyumbani….