Month: February 2019
Biashara ya mkaa na mazingira Tanzania
Awali ya yote nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia uhai mpaka tukapata fursa ya kubadilishana mawazo juu ya umuhimu wa mkaa na athari zake kwa mazingira. Vilevile napongeza sana menejimenti ya Mwananchi Communications Limited na ITV/Radio One chini ya IPP Media;…
Mradi wa maji Ibwera ‘sokomoko’
Ibwera ni kata iliyoko katika Tarafa ya Katerero, Wilaya ya Bukoba Vijijini. Sehemu hiyo si kame sana ukilinganisha na sehemu nyingine zenye ukame hapa nchini. Ina mito ya kutosha na imezungukwa na maziwa mengi madogomadogo ambayo yanaipa sifa ya kutoonekana…
Tanzania bila itikadi inawezekana?
Nimewahi kujenga hoja kuwa Mtanzania anaposhiriki kwenye uchaguzi haongozwi na msimamo wa kiitikadi wa chama chake cha siasa, bali na masuala mengine ambayo hayapewi uzito na wachambuzi. Si vigumu kuamini kama nilivyoamini unaposhuhudia mara kwa mara wanachama kuhama chama kimoja…
Mambo muhimu mkataba wa ajira unapovunjwa
Mkataba wa ajira ni sawa na mikataba mingine. Huingiwa kwa hiari ya wahusika na wahusika hao hao waweza kuondoka katika mkataba huo kwa hiari zao. Tuzungumzie mwajiri kuamua kujitoa katika mkataba wa ajira. Mwajiri anaweza kujitoa katika mkataba wa ajira….
MAISHA NI MTIHANI (17)
Hofu ni mtihani. Kuna aliyesema: “Hofu ina maana mbili: sahau kila kitu na kimbia; maana ya pili, kabili kila kitu uinuke.” Huenda ilipo hofu ndipo palipo mafanikio yako. “Kila kitu unachohitaji kiko upande wa hofu,” alisema Jack Canfield. Mara nyingi…
Demokrasia Tanzania imetundikwa msalabani (1)
Mwaka 2015 kuelekea Uchaguzi Mkuu wa taifa letu la Tanzania, niliandika makala nyingi sana katika Gazeti hili la Jamhuri. Makala zangu zilikuwa zinakosoa mwenendo wa Chama tawala (CCM). Sihitaji kusimulia kilichonitokea lakini inatosha kudokeza kiduchu: ‘Niliambulia vitisho vya kuondolewa uhai…