JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: January 2020

Kwa nini Ikimba inafaa kuwa wilaya inayojitegemea

Katika mabishano kuhusu ni wapi panafaa kuwa makao makuu ya Wilaya ya Bukoba Vijijini, zipo hoja mbalimbali. Lakini ipo moja iliyo kuu ya kwa nini wananchi wa Bukoba Vijijini wanapendelea makao makuu ya wilaya yao yawe katika eneo la Ikimba. …

Takukuru yanusa ufisadi fedha za ukimwi kwa makandarasi

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) imefichua ufujaji wa fedha zinazotengwa na makandarasi kwa ajili ya kutoa elimu juu ya maambukizi ya virusi vya ukimwi kwa jamii inayozunguka maeneo yao ya miradi. Fedha hizo hutengwa na makandarasi…

NMB inavyoijali jamii inamofanya kazi

Hakuna sheria maalumu ya jumla nchini Tanzania inayozilazimisha kampuni kuchangia miradi mbalimbali ya kijamii.  Licha ya sheria kuwa kimya juu ya kile kinachopaswa kufanywa na kampuni na wadau wa sekta za ziada katika kuwajibika kwa jamii kupitia CSR, zipo kampuni…

‘DAWASA tumejipanga kuwatumikia Dar, Pwani’

Hivi karibuni Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA, Mhandisi Cyprian Luhemeja, amefanya mahojiano na kipindi cha MIZANI cha Televisheni ya Taifa (TBC1). Katika kipindi hicho anazungumza masuala mengi kuhusu upatikanaji wa huduma ya majisafi na majitaka jijini Dar es Salaam pamoja…

Hatua za kufuata unapoagiza mzigo wako ng’ambo

Bandari imejipanga kuhakikisha mteja aliyeagiza mzigo nje ya nchi anapata mzigo wake kwa wakati bila usumbufu. Katika toleo hili tunakuletea hatua ambazo mwagizaji wa mzigo kupitia bandari zetu anapaswa kuzifuata ili aweze kuagiza na kuupata mzigo wake kwa njia rahisi. …

Ndugu Rais, unayo nafasi ya kipekee

Ndugu Rais, Malcolm X, mwanaharakati wa haki za weusi huko Marekani alipata kusema: “Nitaufuata ukweli bila kujali nani anausema. Nitafuata haki bila kujali inampendelea nani au ipo dhidi ya nani.”  Na kwa sababu hii, baba ninasema kwa sauti kubwa kuwa…