JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2022

Majaliwa: Sijaridhishwa na miradi ya afya Sumbawanga

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema hajaridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa miradi ya Hospitali ya Manispaa ya Sumbawanga na Kituo cha Afya cha Matanga mkoani Rukwa ambapo tayari Serikali imeshatoa zaidi ya shilingi bilioni mbili. Hivyo, Waziri Mkuu amemuagiza Mkuu…

Maajabu;Mchungaji afariki akiwa kwenye maombi,alitarajia kufufuka Desemba 8

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Abdel Raphael (42), mkazi wa Mtaa wa Uwanja Halmashauri ya Mji Geita,Mkoa wa Geita amekutwa amefariki ndani kwake akiwa kwenye mfungo wa siku 30 akitarajia kufufuka Desemba 8,2022. Akizungumzia tukio hilo mmoja wa waumini wake Kanyasi John…

Maafisa ugani watakiwa kujitathmini kwa kuwafikia wafugaji

Na Edward Kondela,JamhuriMedia,Tabora MAAFISA Ugani wametakiwa kujitathmini na kuhakikisha wanafanya kazi kwa kufuata weledi na kushirikiana na wafugaji ili wafugaji hao wafuge kibiashara pamoja na kutokomeza migogoro ya ardhi kati ya wafugaji na wakulima. Mkuu wa Wilaya ya Nzenga Mkoani…

Ndejembi akemea tabia ya watumishi Ilala kujihusisha na wizi

Na. Veronica Mwafisi,JamhuriMedia NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deogratius Ndejembi amekemea tabia ya baadhi ya watumishi wa umma nchini kujihusisha na vitendo vya wizi ambavyo vinakwenda kinyume na dhamira ya Rais wa…