Habari MpyaMajaliwa akagua ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Nkasi Jamhuri1 year ago1 year ago01 mins Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Nkansi akiwa katika ziara ya Mkoa wa Rukwa Desemba 14, 2022. Wa pili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga na kulia ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi baada ya kukagua ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Nkansi akiwa katika ziara ya Mkoa wa Rukwa, Desemba 14, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu Post Views: 18 Post navigation Previous: NMB yaanzisha ufunguaji akaunti ndani ya dakika mbiliNext: Ndejembi akemea tabia ya watumishi Ilala kujihusisha na wizi
Tanzania yasaini mkataba wa ushirikiano na Hungary kwenye sekta ya maji Jamhuri2 hours ago2 hours ago 0
Rais Samia kuwaongoza viongozi ibada ya kumbukizi ya miaka 40 ya kifo cha Sokoine Jamhuri2 hours ago2 hours ago 0