Month: July 2023
Ziara ya Waziri Mkuu Tanga
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Waziri Kindamba, wakati alipowasili Mkoani Tanga, katika ziara ya siku moja Julai 1, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akizungumza na Kikundi cha Hamasa…
Miaka 20 ya Baraza la Famasia Tanzania chachu ya huduma bora
Na Majid Abdulkarim, Dodoma Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, ambaye pia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Mama na Mtoto, Wizara ya Afya, Dkt. Ahmad Makuwani amelitaka Baraza la Famasi Tanzania kuwa chachu ya kuboresha huduma za dawa katika Sekta…
TASAC yakusanya maoni tozo za TPA
Na David John , Jamhurimedia, Kigoma Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limekutana na wadau mbalimbali mkoani Kigoma na kukusanya maoni juu ya maombi ya mapitio ya tozo yaliyowasilishwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) uliofanyika Juni…