JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: July 2023

Uwanja wa Amaan Zanzibar wakaguliwa maandalizi ya AFCON 2027

Na Eleuteri Mangi, WUSM, Zanzibar Timu ya Wakaguzi ya utayari wa nchi za Kenya Uganda na Tanzania kuhusu utayari wao wa kuwa wenyeji AFCON 2027, leo hii Julai 31, 2023 wapo Zanzibar ambapo wamekagua Uwanja wa Amaan, hospitali ya Mnazi…

Kinana: Wapinzani jengeni hoja, acheni kejeli kwa Rais

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahaman Kinanaa amewashauri na kuwakumbusha wanaiasa wa upinzani kuheshimu fursa ya maridhiano ya kisiasa iliyotolewa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan. Amesema lugha za matusi, kejeli na dharau dhidi kiongozi wa nchi zinapaswa…

Mlipuko waua zaidi ya watu 40 nchini Pakistan

Mlipuko katika jimbo la kaskazini magharibi mwa Pakistan la Khyber Pakhtunkwa umeua zaidi ya watu 40, maafisa wamesema. Mlipuko huo ulitokea katika mji wa Khar unaokaliwa na kabila la Wabajaur, ambao uko karibu na mpaka kati ya Pakistan na Afghanistan….

UTT AMIS yatoa elimu ya uwekezaji kwa wahariri, yapata faida ya trilioni 1.5

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Katika kipindi cha miaka miwili mfululizo chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, Kampuni ya Uwekezaji ya UTT AMIS Tanzania imepata faida kutoka sh.bilioni 539 hadi sh.trilioni 1.5 sawa na asilimia 185. Hayo yameelezwa Dar…

Rais Samia apeleka neema ya maji Kaliua

Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua wamepongeza juhudi za Serikali ya Awamu Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwatatulia changamoto ya maji pamoja na kuwapokea wakandarasi wa ujenzi wa maji miji 28 waliokabidhiwa rasmi eneo la…

Waziri Mkuu awapongeza Watanzania walioshiriki kongamano la uchumi Urusi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewapongeza wafanyabiashara 19 kutoka Tanzania ambao walishiriki maonesho ya kibiashara kwenye Jukwaa la Kimataifa la Uchumi na Kibinadamu la Afrika na Urusi lililomalizika Julai 28, mwaka huu. Wafanyabiashara hao wanamiliki makampuni yanayohusika na sekta za elimu,…