JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Rais wa Tunisia amfuta kazi waziri mkuu

Rais Kais Saied wa Tunisia amemfuta kazi waziri mkuu wake, Ahmed Hachani, bila kutoa maelezo yoyote na badala yake kumteuwa waziri wake wa masuala ya kijamii, Kamel Madouri, kuchukuwa wadhifa huo. Kupitia mitandao ya kijamii cha ofisi yake, Saied anaonekana…

Miradi mitano yenye thamani ya bilioni 7/- yabainika kuwa na kasoro Ruvuma – TAKUKURU

Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia,Songea TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), Mkoa wa Ruvuma,katika kipindi cha miezi sita imefuatilia jumla ya miradi 31 yenye thamani ya Sh.bilioni 19,681,124,604.63 kati ya hiyo miradi mitano yenye thamani ya Sh.bilioni 7,053,240,916.51 imebainika…

Mwanariadha akabidhiwa bendera ya Taifa CRDB Marathon

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato SERIKALI imemkabidhi bendera ya taifa mwanariadha, Imelda Mfungo,ambaye ataiwakilisha nchi katika mashindano ya CRDB Marathon nchini Burundi. Mwanariadha huyo ambaye amepata fursa ya kushiriki mashindano hayo ambayo yameandaliwa kwa mara ya kwanza na Benki ya…

MOI yatoa ushauri kwa magonjwa ya mifupa, masuala ya lishe katika maonesho Nanenane

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeshiriki maonesho ya kitaifa ya Wakulima na Wafugaji (Nanenane) kwa kutoa elimu kwa magonjwa ya mifupa pamoja na masuala ya lishe. Akizungumza na waandishi wa habari…

Wananchi 387 wapatiwa msaada wa kisheria katika maonesho Nanenane

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma WANANCHI 387 wameweza kutembelea katika Banda la Wizara ya Katiba na Sheria lililopo katika maonesho ya kitaifa ya Wakulima na Wafugaji (Nanenane) ili kuweza kupata msaada wa kisheria hususani katika maeneo ya migogoro ya ardhi…

Zaidi ya kampuni 50 zasajiliwa na BRELA maonesho Nanenane

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma ZAIDI ya kampuni 50 zimeweza kusajiliwa na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) katika maonesho ya Kitaifa ya Wakulima na Wafugaji (Nanenane). Hayo yamebainishwa na Afisa Kumbukumbu kutoka Brela Faridi Hoza wakati akizungumza…