Year: 2024
TIC yatangaza fursa za uwekezaji maonyesho ya Tanga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Tanga KITUO cha Uwekezaji nchini (TIC), kimesema kampeni ya nchi nzima ya kuhamasisha uwekezaji imeamsha ari ya watanzania wengi kuchangamkia fursa za uwekezaji kwenye sekta mbalimbali. Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki na Afisa Uwekezaji wa kituo hicho,…
Majaliwa : Serikali yenu ipo imara
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Swrikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ipo imara na inaemdelea kutekeleza miradi ya kimkakati Amesema utekeleza wa miradi hiyo utawawezesha wananchi kutekeleza majukumu yao kikamilifu na kushiriki katika shughuli…
Geita yatakiwa kuja na mradi wa Kaboni kuokoa mazingira
Mkoa wa Geita umetakiwa kuanzisha mradi wa kaboni ili kujipatia kipato na kukabiliana na kasi ya uharibifu wa mazingira inayotokana na shughuli za ukataji wa miti hovyo. Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhandisi Cyprian Luhemeja…
Wabunge Marekani waimwagia sifa Tanzania
Wawakilishi 11 wa Bunge la Wawakilishi-Congress kutoka nchini Marekani wameridhishwa na juhudi za uhifadhi zinazofanywa na Serikali ya Tanzania huku wakisifia namna ambavyo Hifadhi za Taifa zimesheheni wanyamapori. Hayo yamesemwa katika kikao kati ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki…
Tanzania mwenyeji Baraza la 42 la Utawala la PAPU
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania inakuwa mwenyeji wa Mkutano wa 42 wa Baraza la Utawala la Umoja wa Posta Afrika (PAPU) linalotarajiwa kuanza Juni 3 hadi 14, 2024 jijini Arusha yalipo Makao Makuu ya Ofisi za PAPU….