Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
June 3, 2024
Habari Mpya
Rais Samia akutana na wawekezaji na wamiliki wa makampuni ya Korea
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia akutana na wawekezaji na wamiliki wa makampuni ya Korea
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wawekezaji na Wamiliki Wakubwa wa Kampuni za Korea wakati wa hafla maalum ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na Wamiliki hao jijini Seoul, tarehe 2 Juni, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifuatilia na kusikiliza kwa makini mazungumzo na Wawekezaji na Wamiliki Wakubwa wa Kampuni za Korea wakati wa hafla maalum ya chakula cha jionikilichoandaliwa na Wamiliki hao jijini Seoul, tarehe 2 Juni, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Ujumbe wake wakati wa mazungumzo na Wawekezaji na Wamiliki Wakubwa wa Kampuni za Korea. Mazungumzo hayo yaliambatana na hafla maalum ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na Wamiliki hao jijini Seoul, tarehe 2 Juni, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipiga makofi kuashiria kukubaliana na jambo wakati wa kikao maalum cha kazi kilichoambatana na hafla maalum ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na Wawekezaji na Wamiliki Wakubwa wa Kampuni za Korea, tarehe 2 Juni, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Wawekezaji na Wamiliki Wakubwa wa Kampuni za Korea wakati wa hafla maalum ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na Wamiliki hao jijini Seoul, tarehe 2 Juni, 2024.
Post Views:
268
Previous Post
Geita yatakiwa kuja na mradi wa Kaboni kuokoa mazingira
Next Post
Majaliwa : Serikali yenu ipo imara
Wakazi zaidi ya 1,000 Mpiji Magoe kunufaika na huduma ya majisafi
Rais Samia azungumza na Mjumbe Maalum wa Rais wa Djibouti Ikulu jijini Dar
Mitaala 21 ya TEHAMA vyuoni yahakikiwa
Bunge laipongeza Tume ya Tehama kukipeleka Kiswahili duniani
Tanzania kuanza kuzalisha kompyuta
Habari mpya
Wakazi zaidi ya 1,000 Mpiji Magoe kunufaika na huduma ya majisafi
Rais Samia azungumza na Mjumbe Maalum wa Rais wa Djibouti Ikulu jijini Dar
Mitaala 21 ya TEHAMA vyuoni yahakikiwa
Bunge laipongeza Tume ya Tehama kukipeleka Kiswahili duniani
Tanzania kuanza kuzalisha kompyuta
Haya hapa matokeo kidato cha nne 2024/2025
Trump apanga kuwekeza katika akili mnemba
ACT Wazalendo yampongeza Lissu kwa ushindi
TMA: Mwaka 2024 umevunja rekodi kwa kuwa na joto kali duniani
Diaspora kushirikiana na Serikali kuchangamkia fursa
Rais Dkt. Samia awasili Dar akitokea Dodoma kwa usafiri wa Treni ya Umeme ya (SGR)
Noti mpya za fedha kuanza kutumika Februari 1,2025
Benki Kuu yanunua tani 2.6 za dhahabu inayochimbwa nchini – Waziri Mavinde
Watakia kuchukua vitambulisho vyao NIDA
Rais Dkt. Samia azungumza na viongozi mara baada ya kuwaapisha Majaji Ikulu Dodoma