Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Arusha

Mgombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Paul Makonda (CCM),amesema kazi kubwa iliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan imeacha matokeo chanya.


Makonda ametoa kauli hiyo alipopewa nafasi ya kusamilia wananchi wa mkoa wa Arusha wakati wa mkutano wa kampeni za mgombea urais wa chama hicho, Rais Samia leo Oktoba 2,2025.


Amesema kazi kubwa zilizofanywa na Rais Samia ndani ya mkoa wa Arusha zilizoacha alama na matokeo chanya kila kona ya Arusha, ni kipimo tosha cha wananchi kukichagua chama chake.


Amesema kazi ya upanuzi wa uwanja wa ndege wa Arusha ambao ambapo amesema hivi sasa zipo ndege ndogo utoka Arusha kwenda Nairobi nchini Kenya muda wote.


Amesema hiyo ni dalili njema ya kuendelea kufungua mkoa wa huo sasa uwanja huu unapokea ndege kutoka nje ya nchi moja kwa moja tofauti na awali ilivyokuwa wakilazimika kwenda viwanja vingine kupata vibali.


“Upanuzi wa uwanja huo ni fursa kwa wafayabiashara na watalii kutoka nje ya nchi kupunguza gharama na kupoteza muda mwingi,”amesema.


Amesema kupitia maelekezo ya Rais Samia, mkoa huo umefanikiwa kutekeleza miradi iliyokwama kwa miaka mingi ambapo zaidi ya Sh bilioni 64 zimetumika.


Amesema katika jimbo la Arusha Mjini tayari ujenzi wa stendi kubwa na ya kisasa umeanza kujengwa pamoja na soko kubwa la kisasa pia linajengwa.


Amesema wananchi wa mkoa huo, wanafurahia uongozi bora wa serikali ya awamu ya sita inayotokana na CCM kwakuwa kulikuwa na changamoto ya umeme lakini sasa ufumbuzi umepatikana.


“Uamuzi huu jambo zuri limezidi kupania wigo wa upendo wa Watanzania wote kwa CCM,”amesema.


Katika hatua nyingine, Makonda amemshukuru Rais Samia kwa kuendelea kumuamini na kuamini katika vijana.
“Na๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ด๐˜ฉ๐˜ถ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ณ๐˜ถ ๐˜ฌ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜บ๐˜ข๐˜ฌ๐˜ข๐˜ต๐˜ช ๐˜ป๐˜ฐ๐˜ต๐˜ฆ ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฏ๐˜ช๐˜ข๐˜ฎ๐˜ช๐˜ฏ๐˜ช ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฏ๐˜ช๐˜ฑ๐˜ข ๐˜ฉ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฉ๐˜ช๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ข๐˜ง๐˜ข๐˜ด๐˜ช ๐˜ป๐˜ข ๐˜ถ๐˜ต๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ช๐˜ด๐˜ฉ๐˜ช ๐˜ฌ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข ๐˜”๐˜ธ๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜ฆ๐˜ป๐˜ช ๐˜ธ๐˜ข ๐˜Š๐˜Š๐˜”, ๐˜ฎ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ถ ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ฌ๐˜ฐ๐˜ข ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ˆ๐˜ณ๐˜ถ๐˜ด๐˜ฉ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฉ๐˜ข๐˜ต๐˜ช๐˜ฎ๐˜ข๐˜บ๐˜ฆ ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฑ๐˜ช๐˜ต๐˜ช๐˜ข ๐˜ท๐˜ช๐˜ฌ๐˜ข๐˜ฐ ๐˜ท๐˜ช๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฃ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ท๐˜บ๐˜ข ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฏ๐˜ช๐˜ณ๐˜ฆ๐˜ซ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฉ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฃ๐˜ข๐˜ข๐˜ฅ๐˜ข๐˜บ๐˜ฆ ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ด๐˜ฉ๐˜ช๐˜ฏ๐˜ฅ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ณ๐˜ข ๐˜ป๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ข๐˜ฐ๐˜ฏ๐˜ช ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ณ๐˜ฆ๐˜ซ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฉ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ต๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜จ๐˜ฐ๐˜ฎ๐˜ฃ๐˜ฆ๐˜ข ๐˜ถ๐˜ฃ๐˜ถ๐˜ฏ๐˜จ๐˜ฆ ๐˜ฌ๐˜ข๐˜ต๐˜ช๐˜ฌ๐˜ข ๐˜ซ๐˜ช๐˜ฎ๐˜ฃ๐˜ฐ ๐˜ญ๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ซ๐˜ช๐˜ฏ๐˜ช..”


” Mwenyekiti ๐˜š๐˜ข๐˜ฎ๐˜ช๐˜ข ๐˜ธ๐˜ฆ๐˜ธ๐˜ฆ ๐˜ฏ๐˜ช m๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ธ๐˜ฆ๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ด๐˜ขn๐˜ข, ๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ช๐˜ฎ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ช๐˜ข ๐˜ท๐˜ช๐˜ฌ๐˜ข๐˜ฐ ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฏ๐˜ช๐˜ต๐˜ฆ๐˜ถ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ธ๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜บ๐˜ฆ ๐˜ฏ๐˜ข๐˜ง๐˜ข๐˜ด๐˜ช ๐˜ฎ๐˜ฃ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช๐˜ฎ๐˜ฃ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช, ๐˜ฃ๐˜ข๐˜ฅ๐˜ฐ ๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ฆ๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜ฅ๐˜ฆ๐˜ญ๐˜ฆ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ต๐˜ถ๐˜ญ๐˜ฆ๐˜ข ๐˜ท๐˜ช๐˜ซ๐˜ข๐˜ฏ๐˜ข, ๐˜”๐˜ถ๐˜ฏ๐˜จ๐˜ถ ๐˜ธ๐˜ข ๐˜ฎ๐˜ฃ๐˜ช๐˜ฏ๐˜จ๐˜ถ๐˜ฏ๐˜ช ๐˜ข๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ต๐˜ถ๐˜ฏ๐˜ป๐˜ฆ ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ญ๐˜ช๐˜ฏ๐˜ฅ๐˜ข..”amesema.