Rais Samia atangaza Baraza la Mawaziri, aunda wizara 27
JamhuriComments Off on Rais Samia atangaza Baraza la Mawaziri, aunda wizara 27
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitangaza Baraza jipya la Mawaziri, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma, tarehe 17 Novemba, 2025.