Waziri  Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akipata maelezo kutoka  kwa Mhandisi Pendo Malavana ambaye ni msimamizi wa mardi wa ujenzi wa Shule ya  Mpya ya Msingi  Likong’o ambayo inajengwa kwa ushirikiano wa Mradi  wa gesi wa LNG na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) alipokagua ujenzi  wa shule hiyo katika kijiji cha Likong’o  wilayani Lindi, Desemba 20, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na wananchi baada ya kukagua ujenzi wa Shule Mpya ya Msingi Likong’o ambayo inajengwa kwa ushirikiano wa Mradi  wa gesi wa LNG na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) alipokagua ujenzi  wa shule hiyo  wilayani Lindi, Desemba 20, 2025. Kulia ni Naibu Waziri wa Madini, Salome Makamba na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Telack.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na wananchi baada ya kukagua ujenzi wa Shule Mpya ya Msingi Likong’o ambayo inajengwa kwa ushirikiano wa Mradi  wa gesi wa LNG na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) alipokagua ujenzi  wa shule hiyo  wilayani Lindi, Desemba 20, 2025. Kulia ni Naibu Waziri wa Madini, Salome Makamba na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Telack.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wananchi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba alipozungumza baada ya kukagua ujenzi wa Shule ya  Mpya ya Msingi Likong’o ambayo inajengwa kwa ushirikiano wa Mradi  wa gesi wa LNG na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) alipokagua ujenzi  wa shule hiyo wilayani Lindi, Desemba 20, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na wananchi baada ya kukagua ujenzi wa  Shule Mpya ya Msingi  Likong’o ambayo inajengwa kwa ushirikiano wa Mradi  wa gesi wa LNG na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) alipokagua ujenzi  wa shule hiyo  wilayani Lindi, Desemba 20, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)