Makamu wa Rais ashiriki kikao cha nne cha Mkoa wa Dodoma
JamhuriComments Off on Makamu wa Rais ashiriki kikao cha nne cha Mkoa wa Dodoma
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (CCM) ambaye ni mlezi wa CCM Mkoa wa Dodoma, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, ameshiriki Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Dodoma, kilichofanyika katika Ofisi za CCM Mkoa wa Dodoma leo tarehe 04 Julai 2026.