JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mpango mgeni rasmi siku ya misitu duniani

Na Mwandishi Maalum Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Phillip Mpango atarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele Maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani na Siku ya Upandaji Miti Kitaifa yanayotarajiwa kufanyika Machi 21, 2024. Kuelekea siku hiyo, Waziri wa Maliasili…

Diamond ampa pole Rais Dk Mwinyi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi amepokea salamu za pole kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Wasafi, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond Platinumz’ kufuatia kifo cha baba yake…

Makamba azindua kamati maalum ya kukiimarisha Chuo cha Kimataifa cha Kidiplomasia

Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, January Makamba amezindua kamati maalum itakayosimamia na kushughulikia chuo Cha uhusiano wa kimataifa Diplomasia cha Salim Ahmed Salim. Akizungumza na waandishi wa habari jijini…

Miaka mitatu ya Rais Samia ilivyoleta usawa kwenye uwanja wa siasa

Na Dk Ruben Lumbagala, JamhuriMedia Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ametimiza miaka mitatu ya uongozi wake tangu alipoapishwa rasmi Machi 19, 2021 kuwa Rais wa Tanzania kufuatia kifo cha Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dk. John Magufuli kilichotokea Machi…

Serikali yaongeza Tahasusi (Combination) mpya 49

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imeongeza Tahasusi (Combination) mpya 49, kutoka 16 zilizokuwepo awali hadi kufikia Tahasusi 65. Tahasusi hizo mpya zitakazoanza kutekelezwa Julai, 2024…

Manyara kuchunguzwa ubadhilifu fedha za miradi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Babati Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeielekeza Ofisi ya Rais – TAMISEMI kufanya, ufuatiliaji na  uchunguzi wa fedha walizopeleka kutekeleza miradi katika mkoa wa Manyara hasa katika miradi ya…