JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Clara Luvanga mfungaji bora Al Nassr

Na Isri Mohamed Mtanzania Clara Luvanga anayekipiga katika klabu ya wanawake ya Al Nassr huko nchini Saud Arabia ameibuka kuwa mfungaji bora wa ligi ya wanawake nchini humo. Luvanga ambaye klabu yake ya Al Nassr ladies imechukua ubingwa wa ligi,…

Serikali yasisitiza umoja kwa Simba, Yanga

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo imewaonya baadhi ya Watanzania ambao wamekuwa na tabia ya kuzipokea na kuzishangilia timu ngeni zinapokuja kucheza na timu za Tanzania kuacha tabia hiyo kwani inarudisha nyuma juhudi…

Treni binafsi za mizigo kuanza TAZARA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (TAZARA) limesaini mkataba na sekta binafsi ya kuleta treni ambazo zitabeba mizigo kutoka bandarini na kupeleka nchi jirani. Mkataba huo umesainiwa Machi 20, 2024 Makao Makuu…

CCM yashinda udiwani Kigoma Ujiji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeshinda kiti cha udiwani katika Kata ya Kasingirima Manispaa ya Kigoma Ujiji, baada ya mgombea wa chama hicho Mlekwa Mfamao Kigeni kuibuka mshindi kwenye uchaguzi mdogo wa udiwani kwenye kata hiyo…

Halmashauri zatakiwa kurejesha fedha za mikopo ya KKK kupitia vyanzo vingine

Na Munir Shemweta, JamhuriMedia, Shinyanga Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe, Geophrey Pinda ameziagiza halmashauri zote nchini zilizokopeshwa fedha kwa ajili ya programu ya kupanga, kupima na kumilikisha ardhi (KKK) kutafuta vyanzo vingine vya fedha kwa…