Author: Jamhuri
Serikali kufungua shamba la miwa Muhukuru, Ruvuma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika na Sera, Bunge na Uratibu Jenista Mhagama (MB) wa Peramiho amesema Serikali kupitia Halmashauri ya Wilaya ya Songea imedhamiria kufungua shamba kubwa la miwa na kiwanda cha…
Rais Samia azindua tovuti ya hifadhi nyaraka za Dkt Salim, awapa viongozi mtihani
Na Wilson Malima JAMHURI MEDIA Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi kuwa na utamaduni wa kutunza kumbukumbu za maisha yao kwa manufaa na mchango kwa vizazi vya sasa na vya…
Majaliwa awatwisha mzigo MADC usimamizi wa mashine EFD pamoja na mabaraza ya biashara
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ,ametoa agizo kwa wakuu wa wilaya nchini kuhakikisha wanashirikiana na mamlaka ya mapato (TRA) kusimamia na kufanya ukaguzi wa mashine za EFD endapo ni halisi na sio za maghumashi ili kuepusha…
Asilimia 77.3 ya Vijiji Kagera vyaunganishwa na umeme wa REA
Na Lilian Lundo na Veronica Simba, JamhuriMedia, Kagera Vijiji 512 kati ya Vijiji 662 vya Mkoa wa Kagera ambayo ni sawa na asilimia 77.3 ya vijiji vya mkoa huo vimepata huduma ya umeme kupitia miradi ya Wakala wa Nishati Vijijini…