JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Waziri Mkuu azindua mpango mkakati wa AMREF

*Asisitiza mashirika yasiyo ya kiserikali yazingatie maadili WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amezindua Mpango Mkakati wa miaka nane wa AMREF Tanzania na kuahidi kuwa Serikali itaendelea kufanya ufuatiliaji ili kuhakikisha afua zilizopo katika mpango huo zinatekelezwa kwa ufanisi na kuboresha huduma…

Korea Kusini yakaribishwa kuwekeza Tanzania

Na Na: Saidina Msangi, WF, Busan, Korea Kusini Tanzania imeikaribisha Jamhuri ya Korea ya Kusini kuwekeza katika sekta mbalimbali ikiwemo nishati na kilimo nchini Tanzania ili iweze kufikia lengo la kuwa na maendeleo endelevu. Wito huo umetolewa na Balozi wa…

Waziri Jafo aongoza zoezi la usafi Dodoma

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewahimiza wakuu wa mikoa kusimamia ajenda ya usafi wa mazingira kila Jumamosi asubuhi ili kuifanya miji kuwa safi. Pia, ameelekeza kila mwananchi ashiriki kikamilifu kufanya…

Rais Samia: Barabara ya Newala – Masasi ni muhimu kwa usafirishaji mazao sokoni

Na Immaculate Makilika -MAELEZO, JamhuriMedia, Mtwara Barabara ya Mtwara – Mnivata yenye urefu wa km 50, ni sehemu ya barabara ya kusini itokayo Mtwara – Newala hadi Masasi kupitia Wilaya za Tandahimba na Newala yenye urefu wa km 210. Barabara…

RC Chalamila: Viongozi wa dini chachu ya maendeleo na ustawi wa jamii

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amesema biongozi wa dini wanawajibu mkubwa katika jamii katika kuleta maendeleo na ustawi wa taifa kwa ujumla. Ameyasema hayo leo Septemba 14, 2023 katika ukumbi wa mikutano Yombo unaomilikiwa na Chuo…