Author: Jamhuri
Bajeti ya Wizzra ya Maliasili na Utalii yapitishwa
Makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii imepitishwa hivi leo bungeni ikiwa na mikakati madhubuti ya kuendeleza, kuimarisha shughuli za Uhifadhi na Utalii. Akijibu hoja za Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii,Mohamed Mchengerwa (MB) alisema “Niwahakikishie wabunge…
Tunduru yaanza msako wagonjwa wa kifua kikuu waliokatisha dozi
Hospitali ya Wilaya Tunduru mkoani Ruvuma kupitia kitengo cha kifua kikuu na ukoma,imeanza msako wa kuwatafuta watu wote waliobainika kuwa na maambukizi ya ugonjwa kifua kikuu ambao wameacha kuendelea na matibabu na hawajulikani walipo. Msako huo unawahusisha wataalam wa kitengo…
Rais Samia awataka Yanga waboreshe maslahi ya wachezaji, wamalize mzozo wa Fei Toto
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi na wadhamini wa Young Africans SC kuwaboreshea wachezaji maslahi yao sanjari na kuwakumbusha kukaa meza moja kufanya mazungumzo na Kiungo Feisal Salum (Feitoto). Rais Samia amesema hayo…
Shirika la Akili Platform lashiriki Siku ya Mazingira Duniani kwa kutoa elimu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Shirika la Akili Platform Tanzania linalojiusisha na afua ya Afya ya Akili, mazingira na haki za binadamu Tanzania leo Juni 5 , 2023 Siku ya Mazingira Duniani wameshiriki kwa vitendo katika kutunza mazingira kwa kufanya usafi…