Jamhuri

Tumepataje amani, tunaidumishaje?

Awali ya yote napenda nichukue fursa hii kumshukuru sana Mwenyezi Mungu ambaye kwa mapenzi yake anatujaalia afya njema. Si kwamba sisi tunastahili kuliko waliokufa, bali sisi kuwapo kwetu hadi leo ni kwa rehema na neema yake tu Mwenyezi Mungu.   Kutokana na hali hiyo, tunaendelea kupumua na kuyafanya yote tunayofanya kila siku. Hivyo ni lazima…

Read More

‘Drones’ zitaua uhuru wa Afrika (2)

Tanzania imebadilisha sheria za kumiliki ardhi karibu mara nane katika muda wa miaka kumi na moja ili kuruhusu wananchi kuporwa ardhi yao na wageni – “kisheria”. Uhalali wa sheria yoyote ni kutenda haki; lakini sheria zinazoidhinisha uwekezaji wa wageni katika ardhi haziwatendei haki wananchi wa Tanzania, hivyo hizo sheria si halali; ni bora zifutwe kwa…

Read More

Matabaka katika elimu yanarudi?

Katika makala yangu, iliyotoka wiki iliyopita nilianza kujadili kurudi kwa mataba ya elimu katika jiji la Dar es Salaam ambalo ni kioo cha taifa hili. Hii ilitokana na kuonekana mabasi kadhaa yaliyoandikwa “INDIAN SCHOOL BUS” na mengine “YEMEN SCHOOL BUS”. Tuendelee na mjadala.   Hapa nchini Tanganyika walikuja kuishi wahindi wa aina mbalimbali kutoka Bara…

Read More

Mbona Oktoba inachelewa?

Baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kilituhumiwa kuendesha njama za kuifanya Serikali isitawalike. Sababu kuu iliyowapa nguvu wabaya wa Chadema kusema hivyo ni uamuzi wa chama hicho cha upinzani kukataa kutambua ushindi wa Rais Jakaya Kikwete. Nakumbuka nilikuwa miongoni mwa tuliokataa hadaa hizo za wanasiasa za kwamba Chadema…

Read More