JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

NMB yamwaga neema shule tano Temeke

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar BENKI ya NMB imekabidhi msaada wa vifaa mbali mbali vyenye thamani ya milioni 39 kwa shule tano za Temeke huku iksisitiza dhamira yake ya kuendelea kusaidia mipango ya maendeleo ya sekta ya elimu nchini kote. Vifaa…

Daraja JP Magufuli la sita kwa urefu Afrika

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Mwanza Daraja la JP Magufuli linalojengwa Mwanza na kuziunganisha wilaya za Misungwi na Sengerema kupitia Ziwa Victoria linatarajiwa kuwa refu kuliko yote Afrika Mashariki na Kati na la sita kwa urefu barani Afrika kwa takwimu za sasa….

Kinana:Demokrasia imechangia CCM kukaa madarakani muda mrefu

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Katavi Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrhman Kinana ametaja sababu tatu za kwanini Chama hicho kimekaa madarakani kwa muda mrefu na moja ya sababu ni uwepo wa demokrasia ya uhuru watu kujieleza na kutoa maoni yao….

Gari la shule laua wanafunzi 8, Rais Samia atoa pole

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Mtwara RAIS Samia Suluhu Hassan amesikitishwa na taarifa ja ajali iliyosababisha watu 10 kupoteza maisha baada ya gari la shule kutumbukia shimoni. Ajali hiyo imetokea leo baada ya gari lenye namba za usajili T 207 CTS Mali…

Balozi Asha-Rose Migiro atembelea kambi ya timu ya Tanzania

BALOZI wa Tanzania nchini Uingereza Dkt. Asha-Rose Migiro ametembelea kambi ya wanamichezo wa Tanzania wataoshiriki kwenye Michezo ya 22 ya Jumuiya ya Madola iliyopangwa kuanza Julai 28, 2022, na kuwatakia kila la heri kwenye michuano hiyo inayoshirikisha jumla ya nchi…