Author: Jamhuri
Jafo: Athari za mazingira zimesababisha mfumuko wa bei
……………………………………………………………….. Imeelezwa athari za kimazingira nchini zimechangia kupanda kwa bei ya vyakula ikiwemo unga wa mahindi kutoka na kukosekana kwa mvua na hata maeneo ilikonyesha ilikuwa ni chini ya wastani. Hayo yameelezwa leo Juni 1,2023 jijini Dodoma na Waziri wa Nchi…
Watu 15 wafamilia moja wafariki kwa kunywa uji Namibia
Watu 15 wa familia moja wamefariki nchini Namibia baada ya kunywa uji ambao maafisa wanaamini ulikuwa na sumu. Hili ni miongoni mwa matukio mabaya zaidi nchini humo ya maafa yanayotokana na chakula kibovu. Vyombo vya habari nchini humo vimeripoti kuwa…
Mwenyekiti CHADEMA Mbeya afutiwa uanachama
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Mbeya vijijini kimetangaza kumfutia uanachama Joseph Mwasote ‘China wa China’ ambaye ni Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Mbeya akidaiwa kuwa chanzo cha migogoro ndani ya chama hicho. Akitangaza maazimio ya Kamati…
Waziri Mkuu atoa maagizo kwa Waziri wa Madini
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemuagiza Waziri wa Madini, Dkt. Dotto Biteko afuatilie taasisi za fedha zinazowakopesha wachimbaji wadogo kwa kuangalia viwango vya riba vinavyotolewa na aina ya shughuli wanazozifanya wajasiriamali hao ili kurahisisha urejeshwaji wa mikopo. Ameyasema hayo leo (Alhamisi,…
Serikali yawakaribisha wawekezaji wa Burundi kuwekeza nchini
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amewakaribisha wawekezaji kutoka nchini Burundi kuwekeza Tanzania kutokana na mazingira bora ya biashara yaliopo na kwamba Tanzania ni sehemu salama ya kuwekeza mitaji yao. Makamu wa Rais amesema…