JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Bil 5.9 zimetumika kununua viuadudu katika halmashauri nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya imetumia kiasi cha shilingi Bilioni 5.9 kununua viuadudu katika ngazi ya Halmashauri ndani ya kipindi cha mwaka 2017 hadi 2023. Hayo yaimebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Afya,…

Huduma za Posta Afrika zaimarika, Mawaziri wakutana kuweka mikakati ya pamoja

Na Immaculate Makilika – MAELEZO “Mamilioni ya wahudumu wa posta wasafirisha mabilioni ya barua na vifurushi kupitia maelfu kwa maelfu ya ofisi za posta kote duniani na hivyo kuzihudumia na kuziunganisha jamii kote duniani”, ameeleza Katibu Mkuu wa Umoja wa…

Swala ya Ijumaa,Masjid Al Rahmah, Mombasa Zanzibar

…………………………………………………………………………………………………………. RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewaomba waumini wa dini ya Kiislam nchini kuendelea kumuombea dua njema na kuliombea taifa kuendelea na amani, utulivu mshikamano na ushirikiano wa watu wake…

Bilioni 16.8 kutumika Mradi wa Usimamizi Shirikishi wa Misitu ya Miombo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kilimo na Chakula Duniani (FAO) wameanza kutekeleza Mradi wa Usimamizi Shirikishi wa Misitu ya Miombo unoafadhiliwa na Mfuko wa…