Author: Jamhuri
Taifa Stars ipo tayari kwenda AFCON
Na Tatu Saad, JAMHURI MEDIA Baada ya kuweka kambi huko nchini Misri na kuanza mazoezi kwajili ya mchezo wa mzunguko watatu wa kundi F,kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika ‘AFCON 2023’, Kocha wa Taifa Stars, Adel Amrouche ameeleza namna…
Geita Gold yaitaka Yena
Tatu Saad, JAMHURI MEDIA Klabu ya Geita Gold imetangaza nia ya kushiriki katika michuano ya Kimataifa msimu wa 2023/24 kwa ubora mkubwa zaidi kwa kuweka mikakati mbalimbali itakayowasaidia katika kufikia malengo hayo. Katibu mtendaji wa Geita Gold, Simon Shija amesema…
Ihefu yajizatiti kuwakabili Simba
Na Tatu Saad, JAMHURI MEDIA Kikosi cha Ihefu FC kimeanza rasmi mazoezi ya kujifua chini ya benchi la ufundi la timu hiyo, kuelekea mchezo wa Robo Fainali kombe la shirikisho Tanzania Bara ‘ASFC’ dhidi ya Simba SC utakaopigwa jijini Da…
TFF yatoa neno Kapombe na Tshabalala kutokuitwa kikosi cha Taifa
Na Tatu Saad,JAMHURI MEDIA Baada ya kelele nyingi kutoka kwa baadhi ya wapenzi wa soka nchini baada ya mabeki wawili wa klabu ya Simba SC Mohammed Hussein na Shomari Kapombe kutoitwa katika kikosi cha timu ya Taifa, shirikisho la soka…
Dkt.Mpango ataka barabara ya Kabingo-Kasulu-Manyovu kukamilika kwa wakati
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ameitaka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kuhakikisha ujenzi wa barabara ya Kabingo-Kasulu-Manyovu yenye urefu wa kilometa 260.6 unakamilika kwa wakati na ufanisi uliokusudiiwa. Amesema hayo Wilayani Kasulu alipokutana…
Tanzania yapeleka misaada ya wahanga wa kimbunga Fredy Malawi
Mkurugenzi Msaidizi anayeshughulika na Operesheni pamoja na Uratibu wa shughuli za Maafa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu, Luteni Kanali Selestine Masalamado ameongoza ujumbe wa kutoka Nchini Tanzania kupeleka misaada ya unga, mahindi, mablanketi, mahema na dawa…