JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

CCM ‘yawashika mkono’ waathirika mafuriko Hanang

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara Chama Cha Mapinduzi (CCM), kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Bara, Anamringi Macha, kimekabidhi msaada wa vitu vyenye thamani ya Tsh. 10 milioni, ‘kuwashika mkono’ waathirika wa maafa yaliyosababishwa na mafuriko ya maji na…

Tume ya TEHAMA yapeleka wabunifu saba kongamano la Afrika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kuhakikisha inakuza ubunifu kwa kampuni changa za Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) nchini, Tume ya Tehama (ICTC) imefanikisha safari ya wabunifu saba kwenda Algiers, Algeria kushiriki katika kongamano la kimataifa la…

Idadi ya vifo Hanang vyafikia 63, Majaliwa aongoza mazishi

Na Mary Margwe, JamhuriMedia,Hanang Idadi ya vifo vya waliopoteza maisha katika maafa ya maporomoko ya udongo huko Wilayani Hanang mkoani Manyara vimefikia 63, ambapo Waziri Mkuu Kasim Majaliwa ameongeza kuaga miili wilayani Hanang mkoani Manyara. Waziri Majaliwa amesema jumla ya…

Serikali yatia vifaa vya kuwasaidia waathirika wa mafuriko Hanang’

Awamu ya ya kwanza vya vifaa tiba na dawa vilovyotolewa na serikali kupitia Bohari ya Dawa (MSD) kwa ajili ya kuwasaidia waathirika wa mafuriko Hanang imewasili katika Hospitali ya Wilaya ya Hanang (Tumaini). Meneja wa Kanda ya MSD Kilimanjaro Rehema…