JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Dkt.Bazilio: Msisafishe masikio kwa pamba, hujisafisha yenyewe

Na Catherine Sungura,JamhuriMedia,Tabora Wananchi wameshauriwa kutoingiza maji kwenye masikio wakati wa kuoga pia kutosafisha masikio yao kwa kutumia pamba za masikio kwani kwa kawaida sikio hujisafisha lenyewe. Hayo yamebainishwa na Daktari Bingwa wa Pua,Koo na Masikio, Dkt. Jane Bazilio kutoka…

Ibaada ya kumuaga Costa Titch yaahirishwa

Na Mwandishi wetu, JAMHURI MEDIA Ibada ya kumbukumbu ya Mwanamziki Constantinos Tsobanoglou maarufu “Costa Titch” aliyefariki jukwaani, iliyotarajiwa kufanyika Alhamisi Machi 16, 2023 imeahirishwa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na familia ya mwanamuziki huyo imeelezwa kuwa, kuchelewa huko kumetokana na…

Serikali yaunga mkono wasambazaji nishati safi ya kupikia

Na Zuena Msuya, Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amesema kuwa, Serikali inaendelea kuunga mkono juhudi za Sekta Binafsi katika kuhakikisha watanzania wote wanatumia nishati safi ya kupikia ili kutimiza azma ya Serikali ya…

NMB yaanzisha huduma ya mikopo nafuu ya elimu

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Benki ya NMB imesema imetenga kiasi cha sh. bilioni 200 kwa ajili ya kuwakopesha wafanyakazi wanaotaka kupata elimu ya juu au wale wanaohitaji fedha za kuwasomesha wategemezi wao. Bidhaa hiyo mpya ya mikopo nafuu inayoleta ahueni kubwa…

Mtoto wa Museveni atangaza kumngo’a baba yake madarakani

Na Wilson Malima, JAMHURI MEDIA Mtoto wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, Mhoozi Kainerugaba ametangaza nia ya kutaka kumrithi Baba yake kiti cha Urais wa Uganda ambapo amesema atagombea Urais wa nchi hiyo ifikapo mwaka 2026. Mhoozi ambaye ni Jenerali…