JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Polisi yanasa silaha ya kivita, watuhumiwa wafariki kwa kurushiana risasi na Polisi

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni majambazi ambao umri wao haujafahamika wamefariki wakati wakisharushiana risasi na askari Polisi waliokuwa doria wilayani Tunduru Mkoa wa Ruvuma ambapo inadaiwa walikuwa wakienda kufanya uharifu kijiji cha Msabula Kata ya…

UVCCM Dodoma yawaandaa vijana Uchaguzi Serikali za Mitaa

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma KATIBU wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Dodoma Mjini Isack Ngongi amewataka vijana kuungana kuhakikisha chama kinashinda kwa kishindo katika uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu. Ngongi ameyasema hayo leo…

Halmashauri Kuu CCM yaridhishwa na utekelezaji wa mradi wa Bwawa la Umeme JHPP

Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa imefanya kikao Maalum tarehe 15 Januari, 2024, Zanzibar, chini ya Mwenyekiti wake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan. Kwa mujibu wa taarifa iliyosainiwa na Katibu Halmashauri Kuu ya…

Mnyeti : Maafisa mifugo nendeni kwa wafugaji, acheni kuwa wakusanya mapato

Na Edward Kondela, JamhuriMedia, Dodoma Maafisa mifugo nchini wametakiwa kufanya kazi za udaktari wa mifugo walizosomea na kuwatembelea wafugaji badala ya kuwa wakusanya mapato wa halmashauri. Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Alexander Mnyeti amebainisha hayo mjini Dodoma wakati akizindua…