JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Majaliwa:Hatutadharau maoni, ushauri kuhusu uwekezaji bandari

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kwamba Serikali haitodharau maoni na ushauri wanaoutoa kuhusu maeneo yenye hofu kwenye mradi wa uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam. Pia, Mheshimiwa Majaliwa amewataka Watanzania waendelee kuwa na imani na Serikali pamoja na…

Shirika la STEMM lafanikisha kambi ya huduma ya afya bure Singida

Kwa kuwagusa wananchi wa maeneo ya vijijini Tanzania, Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ameonyesha njia na kuongoza kwa vitendo mapambano dhidi ya adui maradhi katika nchi yetu. Baada ya kufanyika kambi ya huduma za afya kijijini Pohama kwa siku tano ambapo…

JK awapongeza Ali Kiba,Mbwana Samatta, awapa ushauri

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amewapongeza mwanasoka wa kulipwa wa kimataifa Mbwana Samatta na mwanamuziki nyota Ali Kiba kwa kuanzisha na kuendesha taasisi isiyo ya kiserikali ya SAMAKIBA Foundation ambayo kila mwaka imekuwa…

Kundo: Serikali kutoa mafunzo kwa wataalam wa TEHAMA zaidi ya 500

Na Mathias Canal, JamhuriMedia, Arusha Katika mwaka wa fedha 2023/2024, serikali kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Hbari inatarajia kutoa mafunzo kwa wataalam zaidi ya 500 wa TEHAMA katika nyanja mbalimbali za TEHAMA. Utekelezaji wa majukumu hayo unaiwezesha…

Waajiri watakiwa kuwasilisha taarifa za wastaafu mapema kuwaondolea usumbufu

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma.. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Patrobas Katambi,ameagiza waajiri wote wanawasilisha taarifa za kustaafu kwa mtumishi wake Katika kipindi cha miezi sita kabla ya kustaafu ili kuwapunguzia mateso ya…

ACT-Wazalendo yavuna wanachma wa CHADEMA

Waliokuwa wagombea udiwani wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika Kata za Rugongwe, Mukabuye na Nyaruyoba kwenye Uchaguzi Mkuu 2020 wamejiunga ACT Wazalendo na kupokelewa na Katibu Mkuu wa Chama Ndugu Ado Shaibu kwenye Mkutano Mkuu wa Jimbo la…