JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Madiwani Bagamoyo wapiga marufuku wananchi kulipia gari la wagonjwa kwa 85,000/-

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Bagamoyo Baraza la Madiwani Halmashauri ya Bagamoyo,mkoani Pwani limepiga marufuku ongezeko la malipo ya gari la wagonjwa kwa wateja wanaopata rufaa hospital ya Wilaya ya Bagamoyo kwenda Hospital ya Muhimbili ama Muhas -Mloganzila kwa gharama ya sh.85,000 badala…

DKT. Nchemba ateta na mabalozi wa Canada na Japan

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amekutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi wawili, Balozi wa Canada na Japan kwa nyakati tofauti ambapo walizungumzia ushirikiano kati ya nchi hizo katika sekta mbalimbali za uzalishaji ikiwemo sekta ya kilimo,…

Fuvu la jemedari wa Wangoni kurejeshwa nchini

Na Albano Midelo,JamhuriMedia,Ruvuma Wizara ya Maliasili na Utalii imeunda Kamati ya Kitaifa inayosimamia urejeshwaji wa malikale zilizo nje ya nchi,likiwemo fuvu la Jemedari wa Wangoni Nduna Songea Mbano ambalo limehifadhiwa nchini Ujerumani. Jemedari wa wangoni Songea Mbano na wenzake mashujaa…