JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TRA Pwani yazindua kampeni maalumu ya tuwajibike

  Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani katika kupambana na kudhibiti mianya ya ulipaji wa kodi imezindua kampeni maalumu yenye lengo la kutoa elimu kwa wafanyabiashara juu kutumia mashine za kielekroniki (EFD) pindi wanapouza bidhaa zao. Hayo yamebainishwa…

Mji maarufu kwa vito Thailand waiomba Tanzania kuufungulia milango

Wafanyabiashara wa Tanzania wakaribishwa kushiriki Maonesho Oktoba Chanthaburi-Thailand Serikali katika mji mkongwe na maarufu kwenye shughuli na Biashara ya Madini ya Vito wa Chanthaburi nchini Thailand umeiomba Tanzania kuufungulia milango na kuimarisha ushirikiano kwenye uendelezaji wa Sekta Ndogo ya Madini…

Uchunguzi na tiba mishipa ya damu vyaimarishwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Katika kuboresha huduma za kibingwa nchini Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imepokea msaada wa kifaa maalum chenye mfumo halisi wa mwili wa binadamu “Simulator” ambacho kitatumika kuendelea kuwajengea uwezo wataalamu wa Tiba Radiolojia (Interventional Radiology) kufanya…

RC Chalamila ashuhudia utiaji saini mikataba ya ujenzi ya barabara TARURA Dar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Agosti 12, 2023 ameshuhudia utiaji Saini wa mikataba ya kazi za ujenzi na matengenezo ya Barabara TARURA Mkoa wa Dar es Salaam yenye thamani ya Tshs….

Mkutano wa APIMONDIA kuipaisha Tanzania sekta ya ufugaji nyuki, utalii

Mkutano wa APIMONDIA kuipaisha Tanzania sekta ya ufugaji nyuki, utalii Na Wilson Malima JAMHURI MEDIA Dar es Salaam.Mkutano mkuu wa 48 wa Shirikisho la wafuga nyuki duniani (APIMONDIA) umeipa nafasi Tanzania kuwa mwenyeji wa kongamano la Kongresi ya 50 ya…

Rais Samia ateuliwa mjumbe Bodi ya Ushauri ya Kituo cha GCA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan ameteuliwa rasmi kuwa Mjumbe wa Bodi ya Ushauri ya Kituo cha Dunia cha Uhimilivu wa Mabadiliko ya Tabianchi (Advisory Board of the Global Centre on Adaptation – GCA). Taarifa ya uteuzi…