Author: Jamhuri
Rais Mstaafu Kikwete aongoza harambee ya GGML KILL Challenge
Na Mwandishi Wetu Jumla ya Dola za Marekani 700,000 (sawa na Sh bilioni 1.6) zimepatikana katika uzinduzi wa harambee ya kampeni ya GGML Kili Challenge iliyoongozwa na Rais mstaafu Dk. Jakaya Kikwete kwa lengo la kukusanya Sh bilioni 2.3 fedha…
Watendaji sekta ya afya wanaokwamisha maono ya rais hawatafumbiwa macho
Na Mwanfishi Wetu. JamhuriMedia, Mwanza Serikali Kanda ya Ziwa imesema haitawafumbia macho watendaji wa sekta ya afya wanaokwamisha jitihada za Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika maboresho sekta ya afya. Akizungumza leo Mei 19, 2023 katika kikao kazi cha watendaji…
Mpango mkakati wa mazingira mbioni kukamilika
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano Na Mazingira) Khamis Hamza Khamis amesema Serikali ipo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha Mpango Mkakati wa kutoa Elimu kwa Umma wa miaka mitano (2022/23-2026/27) kuhusu mazingira….