Author: Jamhuri
Kinana: Rais Samia ni msikivu na mwenye kutoa maamuzi kwa maslahi ya Taifa
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahaman Kinana, ameeleza kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan ni msikivu,mtulivu na mwenye kupokea ushauri na kutoa uamuzi kwa kutanguliza…
Watu 15 wafa maji Indonesia
TAKRIBANI watu 15 wamekufa baada ya kivuko kuzama kwenye kisiwa cha Sulawesi nchini Indonesia. Kivuko hicho kilikuwa na abiria 40 hata hivyo mamlaka inawatafuta watu 19 ambao hawajapatikana, shirika la kitaifa la utafutaji na uokoaji la Indonesia limesema leo. Abiria…
Vyuo vikuu 15 bora Malasyia kuonyesha fursa za masomo Dar
Na Mwandishi Wetu Vyuo vikuu vikubwa 15 vya nchini Malaysia vinatarajia kufanya maonyesho hapa nchini kwa lengo la kuwaonyesha Watanazania fursa mbalimbali za kielimu zinazopatikana kwenye vyuo hivyo. Maonyesho hayo yatafanyika kwenye hoteli ya Verde Zanzibar tarehe 28 mwezi huu…
Waziri Mkuu apongeza uboreshaji huduma Muhimbili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameupongeza uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kuboresha huduma na mazingira ya hospitali hiyo. Majaliwa ameyasema hayo leo alipotembelea Hospitali hiyo kumjulia hali ndugu yake aliyelazwa…
Ridhiwani: Taaluma ya uuguzi ni kujitoa na yenye uthubutu
Na Lusungu Helela, JamhuriMedia,Chalinze Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Ridhiwani Kikwete amesema taaluma ya Uuguzi ni kazi ya uthubutu, utayari pamoja na kujitoa kwa ajili ya kuwahudumia wenye mahitaji ya kiafya huku akiwataka…
Ujenzi barabara ya lami Likuyufusi- Msumbizi waiva
Na Albano Midelo, JamhuriMedia,Songea Serikali inatarajia kuanza mradi wa ujenzi wa barabara ya lami nzito ya mpakani mwa Tanzania na Msumbiji yenye urefu wa kilometa 124 kutoka Likuyufusi hadi Mkenda wilayani Songea mkoani Ruvuma. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa…