JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Yusufu Rai ajitosa ubunge Jimbo la Temeke kwa tiketi ya AAFP

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mgombea Ubunge Jimbo la Temeke kupitia Chama Cha Wakulima (AAFP) Yusuph Rai amesema kuwa endapo wananchi watampa dhamana ya kuwa Mbunge atahakikisha Jimbo hilo linapiga hatua kubwa kimaendeleo tofauti na Majimbo mengine yaliyopo…

Timu ya wataalamu kutoka SADC watembelea TMA kukagua na kukabidhi vifaa vya hali ya hewa

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imepokea timu ya wataalamu kutoka Kituo cha Kikanda cha Huduma za Hali ya Hewa cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika โ€œSADC Climate Service Centre- (SADC CSC) wanaoratibu utekelezaji wa mradi wa SADC…

Wizara ya Nishati yajivunia utekelezaji wa miradi saba kati ya 17 nchini

๐Ÿ“Œ Katibu Mkuu Nishati asema kati ya miradi hiyo saba, JNHPP imekamilika ๐Ÿ“Œ Asema EACOP imefikia asilimia 65 huku Serikali ya Tanzania ikichangia hisa za shilingi trilioni 1.12 ๐Ÿ“ŒRuhudji na Rumakali tafiti zakamilika Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Katibu…

Rais Samia atunukiwa Tuzo ya heshima kutambua mchango wake katika mapambano dhidi ya majanga

Na Dotto Kwilasa,Jamhuri Media,Dodoma Wakati zaidi ya watu milioni 83 duniani wakilazimika kuhama makazi yao kutokana na majanga ya asili, migogoro, na kuyumba kwa uchumi, Tanzania imeungana na mataifa mengine duniani kuenzi mashujaa wa misaada ya kibinadamu ambapo safari hii…

Umeme jua kuchochea uchumi maeneo ya vijijini

๐Ÿ“ŒKaya 1,227 kunufaika na mradi wa Umeme Jua Lindi ๐Ÿ“ŒREA kusambaza Majiko Banifu 5,576 Lindi ๐Ÿ“Kila wilaya kugawiwa Majiko Banifu 1,115 ๐Ÿ“Lindi Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imepeleka Mkoani Lindi Mradi wa…

Dk Biteko azindua mpango wa utekelezaji ajenda ya wanawake amani na usalama

๐Ÿ“Œ Azitaka Wizara na Taasisi kutenga Bajeti kusimamia utekelezaji wa Mpango huo ๐Ÿ“Œ Awataka Wanawake kupambana katika maeneo waliyopo ๐Ÿ“Œ Awashukuru wadau wa maendeleo uandaaji wa Mpango huo Na WMJJWM- Dar Es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati…