Author: Jamhuri
Serikali kuwaunga mkono vijana wabunifu
Serikali imesema itaendelea kuwaunga mkono vijana wanaobuni teknolojia mbalimbali zinazosaidia katika kutatua changamoto za mazingira zinazoikabili nchi yetu. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Selemani Jafo wakati akifungua Kongamano la Bunifu…
Wathibti ubora wa shule nchini watakiwa kuzingatia viwango vya ubora katika elimu
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Arusha Wathbiti Ubora wa Shule nchini wametakiwa kuhakikisha shule zinakuwa na viwango vilivyowekwa na Serikali katika miundombinu, ufundishaji, vitendea kazi na maudhui yanayofundishwa watoto ili kuwawezesha kupata elimu iliyo bora. Akizungumza na Wathibiti ubora wa shule Jijini…
Majaliwa: Seriali kuyaenzi mambo yote yaliyofanywa na marehemu Membe
Wazri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kuyaenzi mambo yote mazuri yaliyofanywa na marehemu, Bernad Membe wakati wa utumishi wake Serikalini. Marehemu Membe ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje alifariki dunia Mei 12 mwaka huu katika hospitali ya…
Muhimbili yafanya upasuaji wa kwanza kuondoa bandama
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaHospitali ya Taifa Muhimbili imefanya upasuaji mkubwa wa kuondoa bandama lenye shida kwa mgonjwa kwa njia ya matundu madogo (laparoscopic splenectomy) Upasuaji huu ni wa kwanza kufanyika hapa nchini ambao umefanywa na madaktari wa upasuaji wa MNH…
Tanzania yapongeza azimio la kuanzisha kwa mfuko wa GEF
Tanzania imepokea na kupongeza azimio la kuanzishwa kwa Mfuko wa Mazingira wa Dunia (GEF) na kusisitiza kuwezesha utekelezaji wa Mkakati wa Dunia wa Kuhifadhi Bioanuai kupitia Mikakati ya Kitaifa ya Kuhifadhi Bionuai. Hayo yamebainishwa wakati wa Mkutano Mkuu wa Saba…
NHC yatakiwa kutilia mkazo ukusanyaji madeni
Na Munir Shemweta,JamhuriMedia,Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge Ardhi, Maliasili na Utalii imelitaka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kuhakikisha linatilia mkazo ukusanyaji madeni ya wapangaji katika nyumba zake. Mwenyekiti wa Kamati hiyo Timetheo Mnzava amesema, pamoja na shirika hilo…





