Author: Jamhuri
Dkt.Jingu ashiriki kongamano la wanawake China na Afrika
Na WMJJWM, CHINA Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu ameshiriki Kongamano la kimataifa la Ushirikiano kati ya China na Africa katika masuala ya Usawa wa kijinsia (China – Africa Women’s Forum) Tarehe…
Msonde: Serikali haitomsamehe atakayekwamisha ujenzi wa shule
Na James Mwanamyoto – OR-TAMISEMI Naibu Katibu Mkuu (Elimu), Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dkt. Charles Msonde amesema Serikali haitomsamehe yeyote atakayebainika kukwamisha ujenzi wa miundombinu ya elimu katika shule za Sekondari na msingi. Dkt….
Tuzo za ZIFF 2023 kutolewa leo
Na Andrew Chale, JamburiMedia, Zanzibar WAZIRI wa Nchi Ofisi wa Makamu wa pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi Hamza Hassan Juma anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika usiku wa tuzo za Tamasha la Filamu la Kimataifa la Nchi…
NMB ya kwanza kusajili usajli wanachamaa Yanga
Kwa kutambua umuhimu wa sekta ya michezo nchini, leo @nmbtanzania imeingia makubaliano na timu ya @yangasc na kuwa Benki ya kwanza nchini kuwawezesha mashabiki na wanachama wa Yanga kupata kadi za uanachama kupitia matawi yote ya NMB yaliyoenea nchi nzima….
Majaliwa:Mafuta ya Kaskazini, kanda ya ziwa yachukuliwe Tanga
Wazuri Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Nishati iratibu ununuzi wa mafuta kutoka mikoa ya Kaskazini na Kanda ya Ziwa ili yachukuliwe kutokea Tanga badala ya Dar es Salaam. Ametoa agizo hilo leo (Jumamosi, Julai Mosi, 2023) mara baada ya…