Author: Jamhuri
TMA yatoa mwelekeo wa mvua za Vuli juu ya wastani hadi wastani
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imesema mvua za Juu ya Wastani hadi Wastani zinatarajiwa katika maeneo mengi ya mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Shinyanga, kusini mwa Mkoa wa Simiyu, kaskazini mwa Mkoa wa Kigoma, Dar es Salaam, Tanga,…
Chalinze yapokea gari la zimamoto
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Chalinze Halmashauri ya Chalinze , mkoani Pwani imepokea gari la Zimamoto na Uokoaji litakalosaidia wakati yanapotokea majanga ,kutoka kwa Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ( SSF) Jenifa Shirima. Akiongea kwa niaba ya wananchi wa…
Zouzoua aonyesha kipaji chake
……………………………………………. Klabuya Yanga imefanikiwa kuondoka na alama tatu kwa kuweza kuinyuka KMC FC 5-0, kwenye mchezo wa ligi Kuu NBC uliopigwa kwenye dimba la Azam Complex Jijini Dar es Salaam. Katika Mchezo huo Yanga iliwaanzisha baadhi ya nyota wao akiwemo…





