Author: Jamhuri
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu yawaongezea uwezo mawakili wa Serikali
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali inaongoza Mafunzo ya siku 5 ya Mawakili wa Serikali jijini Arusha kwa lengo la kuwajengea uwezo, ubobevu na umahiri wa utekelezaji wa majukumu yao Mawakili wa Serikali. Mafunzo hayo ya pili ya Mwaka mahsusi…
NEMC yasajili miradi 8,058 ya mazingira ikiwemo ya tathmini ya athari za mazingira
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),limesajili jumla ya miradi 8,058 ya mazingira ambapo kati ya hiyo, 5,784 ni ya Tathmini ya Athari kwa Mazingira (TAM) na 2,274 ni ya Ukaguzi wa…
Wasira, askofu Bagonza wateta Karagwe
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira na Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Dk. Benson Bagonza, wamekutana na kuzungumza wilayani Karagwe Mkoa wa Kagera. Wasira na Dk. Bagonza wamekutana jana…
NIRC na Kamati ya Bunge watembelea mradi wa umwagiliaji shamba la mbegu Ngaramtoni
Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imeshiriki ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kutembelea mradi wa miundombinu ya Umwagiliaji katika shamba la mbegu la Wakala wa Mbegu (ASA) lililopo Ngaramtoni, eneo lililowekewa miundombinu ya…
Wizara ya Nishati yataja vipaumbele vya bajeti ya mwaka 2025/ 2026
📌 Rukwa, Kagera, Lindi. Mtwara kuunganishwa na gridi ya Taifa. 📌 Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kuendelea kuhamasishwa 📌 Serikali kuendelea kuimarisha utendaji wa Taasisi, Mashirika chini ya Wizara ya Nishati, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe….
M23 yaendelea kuwepo Walikale licha ya kutangaza kujiondoa
Kundi la waasi wa M23 limeendelea kushikilia mji muhimu wa Walikale, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, licha ya awali kutangaza mpango wa kuondoka ili kutoa nafasi kwa mazungumzo ya amani. Kundi linaloungwa mkono na Rwanda la M23 lilitangaza…