Author: Jamhuri
Nape:Tuna pengo kubwa kidijitali kati ya wanawake na wanaume
Na Wilson Malima, Jamhuri Media. Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Moses Nnauye amesema, licha ya kuongezeka kwa matumizi ya TEHAMA duniani, ushiriki wa Wanawake na Wasichana bado upo Chini hasa katika nchi zinazoendelea. Amesema, nchini Tanzania…
Aliyekuwa beki wa Mtibwa Sugar Iddy Mobby azikwa leo Shinyanga
Na Tatu Saad, Jamhuri Media Mwili wa aliyekuwa beki wa mtibwa Sugar Iddy Mobby umezikwa leo katika makaburi ya mshikamano, Ngokolo mjini Shinyanga. Mwili huo umehifadhiwa katika nyumba yake ya milele baada ya kufanyiwa ibada katika msikiti wa Madrasatu Aqswa…
Simba yafikia makubaliano kumuuza Opah Clament
Na Tatu Saad, Jamhuri Medi. Uongozi wa klabu ya Simba Sc umefikia makubaliano ya kumuuza nahodha wa timu hiyo kwa upande wa wanawake ‘Simba Queens’, Opah Clement kwenda kuitumikia Besiktas,nchini Uturuki Mchezaji huyo ameshaondoka nchini tayari na kutimkia Uturuki kwajili…
Yanga kuminyana na Bamako kesho kwa Mkapa
Na Tatu Saad Jamhuri Media Klabu ya Yanga inatarajia kuingia dimbani kukabiliana na klabu ya Real Bamako ya huko Mali katika mchezo wao wa marudiano wa Kundi D wanaloshiriki katika kombe la shirikisho Afrika. Yanga wataminyana na Real Bamako kesho…
Serikali yapiga marufuku watoto chini ya miaka 10 kusoma shule za bweni
Na Mwandishi Wetu Serikali imepiga marufuku shule za bweni kwa wanafunzi wa shule ya awali na madarasa ya mwanzo ya shule za msingi , malengo ni kuwapa watoto fursa ya kuwa na uhusiano na familia zao kuelewa mila, tamaduni na…