JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Biteko asisitiza kukamilika jengo la madini wa wakati Dodoma

Mkandarasi wa Jengo Jipya la Wizara ya Madini Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ametakiwa kuongeza kasi ili kukamilisha jengo hilo kwa wakati. Rai hiyo, imetolewa leo Juni 13, 2023 na Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko wakati wa ukaguzi…

Kunenge azindua zahanati kwenye kituo cha yatima kinachoendeshwa na Anna Mkapa

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Kibaha  Mkuu wa Mkoa wa Pwani ,Abubakari Kunenge amezindua Jengo la Zahanati kwenye Kituo cha watoto yatima Kibaha Children Village Center  kilichopo Mtaa wa Simbani Halmashauri ya Mji Kibaha. Kituo hicho kina Jumla ya watoto 16 ambapo…

Rais Samia afanya uteuzi mwingine

Amemteua Mhandisi Rogatus Hussein Mativila kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – TAMISEMI (Miundombinu).  Mhandisi Mativila alikuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS). Amemteua Mhandisi Mohamed Besta kuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS).  Mhandisi…

Muuguzi adaiwa kubaka mjamzito hospitalini Tabora, uchunguzi umekamilika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Jeshi ka Polisi Mkoa wa Tabora linamshikilia muuguzi wa hospitali ya Wilaya ya Sikonge kwa tuhuma za kubaka mama mjamzito aliyekuwa amelazwa hospitalini hapo. Kamanda wa Polisi mkoani humo, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Richard…

Senyamule aagiza Chemba kujipanga upya

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule amesema hajaridhishwa na kasi ya ujenzi wa Shule Mpya ya Msingi katika Kijiji cha Magungu, Kata ya Mpendo, Wilaya ya Chemba na kukemea vikali uongozi wa Kijiji kukusanya fedha…