JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kiwanda cha KEDA Chalinze chapiga tafu ujenzi wa shule ya Jakaya Kikwete

Na Mwamvua Mwinyi, JammhuriMedia,Chalinze Kiwanda cha kutengeneza Marumaru cha KEDA kilichopo Chalinze, mkoani Pwani, kimetoa Boksi 1,750 zenye thamani ya sh.milioni 46 ikiwa ni mchango kwa shule za sekondari za Jakaya Mrisho Kikwete na Miono High School zilizopo halmashauri ya…

Serikali kuokoa biI.33/- kupitia kukamilika kiwanda cha gloves

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI inatarajia kuokoa shilingi bilioni 33 inayotumia kuagiza mpira wa mikono (Groves) nje ya nchi baada kukamilisha miundombinu ya kiwanda cha bidhaa hiyo kilichopo Idofi mkoani Njombe na kuanza uzalishaji ndani ya mwaka huu wa…

Dk Biteko:Tusiruhusu viongozi wa nchi Yetu wakatwezwa utu wao

Na Mathias Canal, Katoro-Geita Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Mhe Dkt Doto Mashaka Biteko (Mb) ambaye pia ni Waziri wa Madini amekemea vikali kejeli, kutweza utu wa viongozi na kauli za kuudhi ikiwemo matusi. Amesema kuwa Rais…

PICHA: Rais Samia ndani ya Simba Day kwa Mkapa

Picha za matukio mbalimbali ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa katika uwanja wa Benjamini Mkapa katika kilele cha Klabu ya Simba (Simba Day) kama mgeni raami leo Agosti 06, 2023

Biteko ampa heko Rais Samia ujenzi wa ICU wilaya ya Bukombe

Na Mathias Canal, Bukombe-Geita Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amepongezwa kwa kutoa fesha kiasi cha shilingi 300,000,000 kwa ajili ya Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa dharura katika hospitali ya Wilaya ya Bukombe. Mradi…

CCM Zanzibar yajipanga majimbo yote kubaki 2025

Na Haji Mtumwa, Zanzibar Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Hemed Suleiman Abdulla amesema Chama Cha Mapinduzi kimejipanga kuhakikisha Majimbo yote yanabaki kuwa chini ya CCM ifikia Uchaguzi wa Dola wa mwaka 2025. Mjumbe huyo wa…