JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Uingereza yaadhimisha siku ya mfalme Charles

Na Lookman Miraji Taifa la Uingereza huadhimisha siku maarufu nchini humo, ijulikanayo kama siku ya mfalme Charles wa tatu(KING CHARLES III ). Siku hiyo ni miongoni mwa sikukuu za kitaifa nchini humo ikiwa imebeba maana kubwa kwa watu wa taifa…

Serikali yapigilia msumari mapambano dhidi ya utumikishwaji watoto

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imetoa onyo kwa waajiri wote nchini wanaowatumia watoto kama nguvu kazi kwa namna yoyote ile, huku ikiweka wazi kuwa ni marufuku kuwatweza watoto kwa kuwavunja haki, heshima na utu wao. Kauli hiyo imetolewa leo Juni 12,2025…

Serikali yatangaza mikakati ya kudhibiti uharibifu wa mazingira JNHPP

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma NAIBU Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Khamis Hamza Khamis amesema Serikali imeweka mikakati madhubuti ya kulinda bwawa la kuzalisha umeme la Julius Nyerere (JNHPP) ikiwemo kutekeleza sheria ya kudhibiti shughuli za kibinadamu. Kauli…

Tanzania yapiga hatua utekelezaji wa mkataba wa haki za wenye ulemavu – Wakili Mpanju

Na WMJJWM- New York Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa Mkataba wa Haki za Watu wenye Ulemavu . Wakili Mpanju amesema…

Mameya wa Los Angeles wamtaka Trump kuondowa wanajeshi

Mameya kadhaa wa eneo la Los Angeles wameungana pamoja kuutaka utawala wa Trump kusimamisha uvamizi dhidi ya wahamiaji ambao umeleta wasiwasi na kuchochea maandamano kote nchini Marekani. Mameya hao wakiwa na wajumbe wa mabaraza ya miji walimtaka Trump siku ya…

Wazazi waaswa kutokuwa chanzo cha mmomonyoko wa maadili kwa watoto

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Serengeti Polisi Kata wa Kata ya Ikoma Wilaya ya Serengeti mkoani Mara Sajenti Emmanuel, ametoa wito kwa wazazi kutokuwa chanzo cha mmomonyoko wa maadili kwa watoto wao. Ametoa kauli hiyo wakati akitoa elimu ya Polisi Jamii…