Author: Jamhuri
Prof. Kabudi : Uandishi wa habari ni taaluma anayefanyakazi hii lazima awe na vigezo
Na Mwandishi Wetu – MAELEZO, Mbeya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi amesema uandishi wa Habari na utangazaji ni taaluma kama zilivyo taaluma nyingine nchini akisisitza kuwa mtu yeyote anayetaka kutekeleza majukumu yanayohusiana na tasnia hiyo…
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu kuboresha sheria kuelekea utekelezaji wa dira 2050
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeanza kufanya maboresho ya Sheria mbalimbali ili kurahisisha utekelezaji wa Dira 2050, Hayo yamesemwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari wakati wa Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Mwanasheria…
Dk Biteko azindua mradi utakaowakwamua vijana kiuchumi
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo amezindua Mpango wa Uwezeshaji wa Kiuchumi kwa Vijana (YEE) ambao unagusa maeneo yanayopitiwa na mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) ikiwa ni jitihada zinazoendelea…
Waziri Mwita awataka wananchi kuunga mkono miradi ya Serikali
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Tabia Maulid Mwita amewataka Wananchi kuunga Mkono miradi inayoanzishwa na Serikali ili iweze kukamilika kwa muda uliopangwa. Ameyasema hayo kwa nyakati tofauti wakati alipofanya ziara ya kukaguwa maeneo yanayotarajiwa kujengwa Viwanja vya…
Fanyeni kampeni za kistarabu kunadi sera epukeni matusi
Na Magrethy Katengu,Jamhuri MediaDar es Salaam Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, amewataka viongozi wa vyama vya siasa nchini kuhakikisha kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2025 zinafanyika kwa kistaarabu, bila kutumia lugha za matusi, kashfa au vitendo vyovyote…