Author: Jamhuri
TARURA: Matumizi ya teknolojia mbadala katika ujenzi wa barabara na madaraja yamepunguza gharama
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umesema kuwa Matumizi ya teknolojia mbadala na malighafi zinazopatikana maeneo ya kazi kwaajiliya ujenzi wa barabara na madaraja imeweza kupunguza gharama zaidi ya 50. Hayo…
CAG aridhishwa ufanisi wa fedha TPA mwaka wa fedha 2023/24
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMesia, Dar es Salaam Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) imepokea pongezi kubwa kutoka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa utendaji wake bora katika mwaka wa fedha 2023-2024. Ripoti ya CAG, iliyowasilishwa…
Wafanyabiashara ndogondogo 137 Soko la Kilombero waondokana na adha ya kuuza bidhaa zao chini
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha ZAIDI ya Wafanyabiashara ndogo ndogo 137 wanaouza mbogamboga na matunda katika soko la Kilombero jijini Arusha wameondokana na adha ya kuuza bidhaa zao chini pamoja na kunyeshewa na mvua baada ya kuboreshewa mazingira kwa kujengewa…
UCSAF kufikisha huduma za mawasiliano kwenye vijiji 5,102
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) imejizatiti kufikisha huduma za mawasiliano kwenye kata 1,974 na vijiji 5,102 nchini ambapo hadi sasa, minara 2,152 ya mawasiliano imejengwa, ambayo imewanufaisha zaidi ya wakazi milioni 29. Hayo yameelezwa…
EACOP yapata ufadhili wakati ujenzi ukifikia zaidi ya asilimia 50
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umefikia hatua muhimu kwa kufanikisha upatikanaji wa sehemu ya kwanza ya ufadhili wa nje, hatua inayoweka msingi madhubuti kwa uwekezaji mkubwa zaidi wa…
SimBanking kugawa milioni 240, magari matano kwa wateja wake
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam IKIZINDUA msimu wa tano wa kampeni ya yake ya Benki ni SimBaking, Benki ya CRDB imetangaza kutenga zawadi kiasi cha shilingi milioni 240 pamoja na magari matano. Akizindua kampeni hiyo, Mkurugenzi wa Wateja…