Author: Jamhuri
Watano wahukumiwa kunyongwa hadi kufa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Mahakama Kuu, Kanda ya Tabora nchini Tanzania, leo Ijumaa Septemba 30, 2022 imewahukumu kunyongwa hadi kufa watuhumiwa watano ambao ni wakazi wa Wilaya ya Igunga, Mkoa wa Tabora. Ni baada ya kuwatia hatiani kwa kosa…
Lions yamkabidhi Ridhiwani vifaa tiba vya Mil. 5 /-
Na Omary Mngindo, TimesMajira Online,Ruvu Taasisi ya Lions Club imemkabidhi vitanda na vifaa tiba Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Ridhiwani Kikwete, vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 4.9. Katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Zahanati ya…
Uzazi wa mpango na afya ya uzazi Tanzania
Na Stella Aron, JamhuriMedia Huduma za kupanga uzazi ni moja ya afua mtambuka zinazopewa kipaumbele hasa katika huduma za kinga za afya. Huduma hizo za ni muhimu katika kufikia malengo makuu ya afya hasa katika afya ya uzazi na mtoto….
Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari mlipuko wa Ebola
Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari juu ya mlipuko wa janga la Ebola ambao unaripotiwa kutokea nchi jirani ya Uganda huku wakitakiwa kuondokana na safari zisizo za lazima ili kuepukana na ugonjwa huo. Hayo yamesemwa jijini Arusha na Rais wa Chama cha…