JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TANAPA isaidieni Mahakama kujenga ushahidi usio na mashaka

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Katavi Naibu Kamishna wa Uhifadhi na Maendeleo ya Biashara (TANAPA), Herman Batiho amewataka wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi na Kwata kwa Askari Waandamizi kuisaidia Mahakama kujenga Ushahidi usio na mashaka kwa kesi zote zinazohusiana na masuala ya Wanyamapori…

Kinana atua Kigoma kwa ziara ya kuimarisha chama

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Ndugu Abdulrahman Omari Kinana amewasili leo Alhamisi tarehe 01 Septemba, 2022 mkoani Kigoma kwa ziara ya siku moja mkoani humo ya kukagua uhai wa chama, utekelezaji wa ilani pamoja na kusikiliza…

Msajili vyama vya wafanyakazi aitaka JOWUTA kuongeza kasi ya usajili

MSAJILI wa Vyama vya Wafanyakazi nchini Pendo Berege, amekitaka Chama cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Tanzania (JOWUTA), kuongeza kasi ya usajili wa wanachama kama Sheria na Katiba ya inavyotaka. Msajili Berege ametoa maelekezo hayo leo Agosti 31/2022 baada ya kutembelea…

Mabasi yasiyokata tiketi kwa mtandao kuanza kuzuiliwa kesho

Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia,Morogoro MAMLAKA ya udhibiti usafiri ardhini( LATRA)imesema kuwa kuanzia Septemba mosi 2022 mabasi yote ya abiria ambayo hayatakuwa yamewakatia abiria wake tiketi mtandao hayataruhusiwa kuendelea na safari yake ikiwa ni pamoja na kutozwa faini ya shilingi 250000 kwa…

ACT-Wazalendo yaishauri Serikali kuhusu bima ya afya ya Taifa

Chama cha Act Wazalendo kimeiomba serikali, kuhakikisha kila Mtanzania anakua kwenye mfumo wa hifadhi ya jamii ili kuwawezesha Watanzania wote kupata bima ya afya ya Taifa. Pia imeishauri serikali kupitia wizara ya fedha kuhakikisha mikopo yote inayodaiwa kupitia mashirika ya…

Urusi yalipiza kisasi kwa kuua wanajeshi wa Ukraine

Ukraine imedai kushambulia na kuharibu madaraja na maghala ya silaha pamoja na kuviharibu kabisa vituo vya kuongoza shughuli za kijeshi katika eneo lililokuwa likidhibitiwa na Urusi la Kusini mwa Ukraine. Urusi nayo imesema imelipiza shambulizi hilo la kuuwa wanajeshi kadhaa….