Author: Jamhuri
Ndejembi awataka waajiri kuwatumia wataalamu wenye sifa
Naibu waziri wa ofisi ya Rais utumishi wa umma na utawala bora, Deogratius Ndejembi amewataka waajiri kote nchini kuhakikisha wanawaweka watu wenye sifa za kusimamia idara za ununuzi na Ugavi ili shughuli hizo ziweze kufanyika kwa weledi na utalaamu mkubwa….
Polisi waungana na jamii ya wafugaji kupinga vitendo vya ukatili
Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi mkoani Arusha limesema litaendelea na mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto kwa kuhakikisha wanaibua na kuwachukulia hatua watu wote wanaojihusisha na vitendo hivyo. Hayo yamesemwa na…
Halotel kuwapatia wanafunzi wa vyuo salio la bure
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Katika juhudi zake za kusaidia sekta ya elimu hapa nchini, Kampuni ya Halotel imekuja na ubunifu mwingine katika kutoa huduma zake kwa wateja. Leo kampuni imetangaza huduma mpya inayolenga kuchochea usomaji kwa wanafunzi wa elimu ya juu…