JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wananchi Endiamtu wampa tano diwani Chimba kwa utekelezaji Ilani ya CCM kikamilifu

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro WANANCHI wa Kata Endiamtu wilayani Simanjiro mkoani Manyara wamempongeza Diwani wa Kata hiyo Lucas Zacharia Chimba kwa uwajibikaji wake wa utekelezaji wa Ilani ya CCM kikamilifu. Wameyasema hayo jana mara baada ya Diwani Chimba kuelezea…

Mwenyekiti vijana CHADEMA Musoma aliyetimkia CHAUMA nafasi yake yapata mrithi

Na Jovina Massano, JamhuriMedia, Musoma MWENYEKITI wa Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) Wilaya ya Musoma Mkoani Mara Otaigo Mnanka aliejiunga na Chama Cha Ukombozi wa Umma ( CHAUMA)nafasi yake yapata mrithi. Mrithi huyo amepatikana June 8,2025 mara baada Baraza hilo…

Sekta ya madini yaleta mageuzi makubwa kiuchumi Lindi

Na Mwandishi Wetu, Lindi Imeelezwa kwamba, kwa kipindi cha Miaka Minne Sekta ya Madini mkoani Lindi imefanya mageuzi makubwa ya kiuchumi kupitia shighuli za uchimbaji na uwekezaji katika rasilimali madini mbalimbali zinazopatikana mkoani humo yakiwemo madini ya kinywe, dhahabu, jasi,…

Maduka 17 ya soko la Buseresere Geita yateketea kwa moto

Na Mwanishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Ajali ya moto imeteketeza maduka na vibanda 17 vya biashara katika soko la Buseresere wilayani Chato Mkoa wa Geita hali iliyosababisha uharibifu na hasara kubwa ya mali. Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoa…

Mitano tena ni kwa Samia tu, wengine wasubiri mchujo

*Wasira asema madiwani, wabunge wasubiri mchujo kura za maoni *Asisitiza haki kutendeka katika kupata wagombea , akemea rushwa *Atoa rai kwa wananchi kuwapuuza viongozi wa kisiasa wanaohubiri chuki *Awapiga kijembe CHADEMA, awaambia mchawi wao ni wao wenyewe Na Mwandishi Wetu,…

Leo Bajeti Kuu kuwasilishwa bungeni

Bajeti Kuu Kuwasilishwa Bungeni leo Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,DODOMA Serikali inatarajia kuwasilisha Bajeti Kuu leo pamoja na Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2025, ambapo kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, uchaguzi mkuu unaotarajiwa mwaka ujao…