Author: Jamhuri
Marekani kuisaidia Ukraine kwa taarifa za kijasusi
Gazeti la The Wall Street Journal limeripoti kuwa Marekani inapanga kuipa Ukraine taarifa za kijasusi zitakazotumika kuratibu mashambulizi ya makombora ya masafa marefu dhidi ya miundombinu ya nishati ya Urusi. Kwa mujibu wa gazeti la The Wall Street Journal, maafisa…
Koka na Katele waahidi Pangani yenye neema na kupaa kiuchumi
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mbunge wa Jimbo la Kibaha Mjini, mkoani Pwani, Silvestry Koka, amesema kata ya Pangani inakwenda kuwa kitovu cha maendeleo, akiwataka wananchi kutokiangusha Chama cha Mapinduzi katika uchaguzi mkuu oktoba 29,2025. Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni…
Nape Nnauye : Rais Samia ni kiongozi jasiri aliyelivusha taifa kwenye Covid – 19
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Moses Nnauye, amesema Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ni kiongozi jasiri aliyelivusha taifa katika…
Awashauri watumishi kufanyakazi kwa ufanisi na kuwa wabunifu
Na OWM KVAU Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Bi. Mary Maganga amewataka Watumishi wa Ofisi hiyo kuendelea kufanya kazi kwa ufanisi ili kuongeza tija katika utoaji huduma kwa wananchi. Bi. Mary amebainisha hayo…
Waziri Kombo awasili Zimbabwe kushiriki mkutano wa 22 wa Mawaziri wa Mambo ya Nje Afrika na NORDIC
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amewasili jijini Victoria Falls, Zimbabwe, kushiriki Mkutano wa 22 wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Afrika na Nordic, unaofanyika kuanzia tarehe 2 hadi 3…