Author: Jamhuri
Tanzania yapewa msaada wa Euro mil.10
Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani imeipatia serikali ya Tanzania msaada wa Jumla ya Euro Mill 10 sawa na Shilingi za Kitanzania Bill 23.7 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mitatu. Hayo yamejiri leo jijini Dar es Salaam katika…
Balozi Katanga aitaka Benki Kuu kuongeza ufadhili kwa wanafunzi
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Mbeya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Hussein Katanga ameitaka Benki Kuu ya Tanzania kuongeza idadi ya wanafunzi inayowadhamini kwa masomo ya elimu ya juu kuliko, akisema idadi ya wanafunzi inaowadhamini sasa bado ni ndogo sana. Alisema hayo wakati…
Vyama vya ushirika vyatakiwa kuwa mkombozi kwa wakulima,wafugaji
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega amevitaka Vyama vya Ushirika vya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi nchini kuwa msaada katika kuleta maendeleo na sio kushiriki kushusha maendeleo ya wadau wa sekta hizo. Naibu Waziri Ulega ameyasema hayo…
TPA: Maonesho ya kilimo Nanenane ni muhimu kwa taasisi
Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia,Mbeya Maonesho ya Kilimo ya Nanenane 2022 yanayofanyika kitaifa kwenye viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeyayametoa fursa kwa Taasisi mbalimbali kukutana na wananchi hususani wakazi wa Mkoa wa Mbeya na mikoa ya jirani ya iliyopo Nyanda za Juu…