JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wanne wafariki Kenya ‘wakiwa wamefunga kukutana na Yesu’

Watu wanne walipatikana Alhamisi wakiwa wamefariki na wengine zaidi ya kumi wamelazwa hospitalini katika kaunti ya pwani ya Kilifi nchini Kenya, baada ya kuokolewa wakisubiri ‘mwisho wa dunia unaokaribia’. Polisi walisema kundi hilo lilipatikana katika msitu walimokuwa wakiishi kwa siku…

Kailima ampongeza Waziri Mhagama

Waziri wa Nchi Ofisi ya waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera Bunge na Uratibu Jenista Mhagama amesema Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu imezingatia vipaumbele muhimu katika maeneo yote yanayoratibiwa na Ofisi hiyo ili kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi…

Waziri Mkuu na Waziri Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Slovenia awasili nchini

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Slovenia Tanja Fajon na ujumbe wake amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu. Ziara hiyo inalenga kuimarisha na kukuza uhusiano wa kidiplomasia,kiuchumi na kisiasa kati ya…

‘Serikali haijashindwa kulipa mikopo’

Na Farida Ramadhani, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imeeleza kuwa hakuna mikopo ambayo imeshindwa kulipa katika kipindi cha Awamu zote sita za uongozi. Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Hamad Hassan Chande (Mb), alipokuwa akijibu swali…

‘Upandaji mazai hifadhini ni ukikwaji wa sheria’

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mary Masanja ( Mb) ametoa angalizo kwamba kupanda mazao katika maeneo ya Hifadhi ni ukiukwaji wa sheria huku akisisitiza kuwa yeyote atakayebainika kuendesha shughuli za kibinadamu katika maeneo hayo sheria itachukua mkondo wake. Aliyasema hayo…