JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali yawapa mawakili wafawadhi siku 14 kuwasilisha kesi zilizopo

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali yawapa Mawakili Wafawidhi wa Serikali siku kumi nne kuanzia leo kuwasilisha orodha ya kesi zilizopo kwenye taasisi za umma wanazofanyia kazi pamoja na majina na vyeo vya wahusika waliosababisha kesi hizo. Maelekezo hayo yalitolewa na Waziri…

Dereva aliyegonga Twiga,kulipa milioni 34.9/-

Dereva wa lori aliyemgonga Twiga na kumuua katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi anatarajiwa kufikishwa mahakamani mara baada ya kupata matibabu. Hifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi Ignas Gara amesema kuwa tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia Septemba…

Jumuiya ya Kimataifa yamtangaza Rais Samia mshindi tuzo ya amani

Jumuiya ya Kimataifa na Amani imemtangaza Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mshindi wa tuzo mbili za kimataifa ikiwemo ya amani duniani 2022. Hayo yamebainishwa na mwenyekiti wa Taifa wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT), Gaudencia Kabaka, amesema Rais Samia…

Serikali yajivunia ushirikiano wake na China

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema inaendelea kujivunia ushirikiano wake na Serikali ya Watu wa China kwa vitendo zaidi kwa maslahi ya pande zote mbili. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,…

TAMISEMI na Wataalam wa ardhi watakiwa kujipanga kutatua changamoto

Na Anthony Ishengoma na Munir Shemweta,Dodoma Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Angeline Mabula, amewataka wakurugenzi wa Halmashauri nchini kujipanga na kufanya kazi kwa pamoja na wataalamu wa ardhi ili kuondoa changamoto zinazojitokeza katika utendaji kazi na…

Daktari Mtanzania afariki kwa maambukizi ya Ebola Uganda

Daktari raia wa Tanzania mwenye umri wa miaka 37 ambaye amekuwa akisomea Shahada ya Uzamili ya Udaktari katika Upasuaji katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala amefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola, Chama cha Madaktari wa Upasuaji Uganda kimetangaza….