Author: Jamhuri
Tanzania, Congo zasaini makubaliano kuboresha sekta ya ulinzi
Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrsai ya Kongo(DR CONGO) zimetiliana saini ya makubaliano katika ushirikiano wa kuboresha sekta ya ulinzi ikiwa ni sehemu ya kuendeleza mahusiano mema yaliyopo baina ya Mataifa hayo. Akizungumza jana baada ya zoezi la kusaini hati ya…
Askari 300 wamwagwa Dar kupambana na ‘Panya Road’
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar ASKARI 300 wameongezwa katika Mkoa wa Dar es Salaam kwa ajili ya kuimarisha msako wa kuwatafuta na kuwakama wahalifu maarufu kwa jina la ‘Panya Road’. Hayo yamebainisha leo Septemba 15, 2022 na Mkuu wa Mkoa wa Dar…
Mke ajinyonga baada ya mumewe kumtuhumu kuiba 10,000/-
Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia Asia Kibishe (27),mkazi wa Kijiji cha Nyarututu,wilayani wilayani Chato Mkoa wa Geita amejinyonga kwa kipande cha kanga kwa madai mumewe Fabian Shija (23) Mkazi wa Nyarututu,kumtuhumu kuiba sh,10,000. Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi, Septemba 15,…
Bwawa Nyumba ya Mungu kufungwa Machi 2023
Na Kija Elias,JamhuriMedia,Mwanga Wadau wanaoshughulika na uvuvi katika Bwawa la Nyumba ya Mungu wa wilaya za Simanjiro, Moshi Vijijini na Mwanga, wamependekeza kufungwa kwa Bwawa hilo kwa kipindi cha miezi mitatu kutokana na kukithiri kwa uvuvi haramu. Uamuzi wa kufungwa…
Mabula ataka mpango wa matumizi ya ardhi mradi wa maji Butimba
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mwanza Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt.Angeline Mabula ametoa wito kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) kuweka mpango wa matumizi ya ardhi katika eneo la Mradi wa wa Chanzo na Kituo…
Waziri Mkuu wasaidie watoto hawa
*Wanatembea kilometa 24 kila siku Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Nimekuwa na utaratibu za kuzuru maeneo mbalimbali vijijini. Katika pitapita zangu wiki iliyopita nilifika katika eneo ambalo mikoa mitatu ya Manyara, Morogoro na Tanga inapakana. Wilaya zinazokutana hapa ni Kiteto (Manyara), Gairo…